Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiko chuo kipo waliwahi kuja ofisin kwetu na form za kama mtu anataka kujiunga na chuo akasomee mambo ya aviation waliacha ..... ukiweza nikumbushe on Tuesday nikutumie zile brochures zao.
usintake vyuo vya hapa nchi maana sisi kwa kuchakachua hatujambo usije ukaangusha ndege.
chuo kipo uwanja wa ndege dar afa ml. 30
Mil. 30 private pilot license au mpaka commercial pilot license
Mil. 30 private pilot license au mpaka commercial pilot license
private pekee! commercial nenda amerca mkuu
private pekee! commercial nenda amerca mkuu
30 Mil fo PPL,CPL itazidi hapo,na vyuo vya hapa havitoi CPL,yampasa mwanafunzi aende South afrika au kwingineko,wale jamaa wa Tabata magumashi,nenda old Terminal kuna fying school inaitwa Moswood frying school,au zenj Tropical frying school..
Kwenye website yao wameonyesha kwamba wanatoa leseni zote mbili private na commercial. Kwa maelekezo yao, ofisi zao zipo terminal 1, uwanja wa Mwl. J.K Nyerere. Wataanza September kutoa mafunzo.
Tiba
Mkuu icho chuo kinaitwaje? Nataka jina, kisha nliskia kuhusu NIT vipi hawa jamaa wao bado kuanza kufundisha urubani?
Hawa jamaa wanaitwa Tanzania Pilot Training Centre na website yao ni www.flymwaa.com. Kuhusu NIT, kwa kweli sijui lolote kuwahusu.
Tiba
Mkuu asante sana hawa jamaa ni Moswood. Nitaanza kuwafatilia
Tafadhali rudi utupe majibu juu ya credibility yao.