Nitapataje pesa zangu ZSSF?

Nitapataje pesa zangu ZSSF?

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Mimi ni mwalimu nilikuwa nafundisha shule moja Mwanza. Mshahara uliokuwa unatambukilika kisheria na kimkataba ilikuwa laki mbili(200000) tu.

Makato yalikuwa ZSSF= 20000TSH

KODI (PAYE)=ILIKUWA 900

KITU kilichoniachisha kazi mwajiri anataka apeleke pesa ya bodi ya mikopo 15% nikaona niandike barua ya kuacha kazi tu.

Nimejaribu kuomba barua ya termination amesema atanipa mwezi wa nane mwishoni.

Naombe mnishauri asipo nipa hiyo barua ili nikachukue pesa zangu ZSSF nitapitia njia gan ili nipate pesa zangu. Msaada kwa mwenye uelewa!
 
Mimi ni mwalimu nilikuwa nafundisha shule moja Mwanza. Mshahara uliokuwa unatambukilika kisheria na kimkataba ilikuwa laki mbili(200000) tu.

Makato yalikuwa ZSSF= 20000TSH

KODI (PAYE)=ILIKUWA 900

KITU kilichoniachisha kazi mwajiri anataka apeleke pesa ya bodi ya mikopo 15% nikaona niandike barua ya kuacha kazi tu.

Nimejaribu kuomba barua ya termination amesema atanipa mwezi wa nane mwishoni.

Naombe mnishauri asipo nipa hiyo barua ili nikachukue pesa zangu ZSSF nitapitia njia gan ili nipate pesa zangu. Msaada kwa mwenye uelewa!
fanya kazi na mruhusu mwajiri aanze kukulipia deni lako! then anza ku-negotiate juu ya nyongeza ya mshahara. Dawa ya deni la bodi ni kulipa, utawapa taabu wanao siku za usoni!! acha ubinafsi
 
Back
Top Bottom