Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wakati Yanga anacheza final na USMA kiongozi gani wa mbumbumbu alikua Kwa Mkapa?Mpira ni mchezo wa umoja, nawashauri sana akina engineer Hersi kwenda uwanjani kuicheki Simba ijumaa sio ushamba wala usaliti, unakwenda kutafuta connection na wadau mbalimbali wa soka duniani.
Nitashangaa sana siku hiyo ya kihistoria mnabaki nyumbani mnacheki gemu kwenye luninga, nendeni uwanjani hata kama hamtaki kuisapoti Simba lakn uwepo wenu unatosha jamani.
Sasa ulitegemea kumuona kiongozi gani akapoteze muda wake kwenda kwa Mkapa kuangalia mechi ndogoWakati Yanga anacheza final na USMA kiongozi gani wa mbumbumbu alikua Kwa Mkapa?
Aahaaa,Wakati Yanga anacheza final na USMA kiongozi gani wa mbumbumbu alikua Kwa Mkapa?
Ataenda kama mwenyeji/shabiki wa Al hally, kumbuka mechi ya Simba sc vs keiza chief.Mpira ni mchezo wa umoja, nawashauri sana akina engineer Hersi kwenda uwanjani kuicheki Simba ijumaa sio ushamba wala usaliti, unakwenda kutafuta connection na wadau mbalimbali wa soka duniani.
Nitashangaa sana siku hiyo ya kihistoria mnabaki nyumbani mnacheki gemu kwenye luninga, nendeni uwanjani hata kama hamtaki kuisapoti Simba lakn uwepo wenu unatosha jamani.
Wao waende huku mo anadai hajawahi kumuona mayeleMpira ni mchezo wa umoja, nawashauri sana akina engineer Hersi kwenda uwanjani kuicheki Simba ijumaa sio ushamba wala usaliti, unakwenda kutafuta connection na wadau mbalimbali wa soka duniani.
Nitashangaa sana siku hiyo ya kihistoria mnabaki nyumbani mnacheki gemu kwenye luninga, nendeni uwanjani hata kama hamtaki kuisapoti Simba lakn uwepo wenu unatosha jamani.
Yes ni Jambo zuri kushangaa pia,Mpira ni mchezo wa umoja, nawashauri sana akina engineer Hersi kwenda uwanjani kuicheki Simba ijumaa sio ushamba wala usaliti, unakwenda kutafuta connection na wadau mbalimbali wa soka duniani.
Nitashangaa sana siku hiyo ya kihistoria mnabaki nyumbani mnacheki gemu kwenye luninga, nendeni uwanjani hata kama hamtaki kuisapoti Simba lakn uwepo wenu unatosha jamani.
Mama yako angebana miguu tu ukafa kuliko kuleta jitu jinga kama weweSasa ulitegemea kumuona kiongozi gani akapoteze muda wake kwenda kwa Mkapa kuangalia mechi ndogo
Mechi inayowakutanisha amateurs wawili mmoja hajawahi kufika robo fainali kwa zaidi ya miaka 20
Mwingine ndio kwanza kwenye ligi anapambania asishuke daraja.
Tuwe tu wakweli hata ungekuwa ndio wewe ungeenda kweli?
Nami sijapitia katikati ya miguu kama weweMama yako angebana miguu tu ukafa kuliko kuleta jitu jinga kama wewe
Sio kweli kwamba Watanzania wote ni wajinga Mkuu. Kuna wapuuzi wachache wanafanya Watanzania wote tuonekane hamnazo. Wengine hivyo kabisa. Mwangalie CAPO DELGADO ni mwana Simba lakini dishi halijayumba kama hawa wengine.Nyie watanzania ni wajinga sana, mtaendelea hivi hivi
Mkuu kwangu mm naona karibu wote tu, we fuatilia vzr ,kwa ukaribu na umakiniSio kweli kwamba Watanzania wote ni wajinga Mkuu. Kuna wapuuzi wachache wanafanya Watanzania wote tuonekane hamnazo. Wengine hivyo kabisa. Mwangalie CAPO DELGADO ni mwana Simba lakini dishi halijayumba kama hawa wengine.