Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Ninachosema ni ukweli Mkuu. Ni watu wachache wanaharibu sifa ya Nchi nzima Kwa kujitoa Ufahamu. Angalia tena hizo posts unazosema, zote zimeanzishwa na watu wasiozidi 10.Mkuu kwangu mm naona karibu wote tu, we fuatilia vzr ,kwa ukaribu na umakini
Nasoma sana, maandiko yao humu,nayasoma sana tu