Ninachosema ni ukweli Mkuu. Ni watu wachache wanaharibu sifa ya Nchi nzima Kwa kujitoa Ufahamu. Angalia tena hizo posts unazosema, zote zimeanzishwa na watu wasiozidi 10.Mkuu kwangu mm naona karibu wote tu, we fuatilia vzr ,kwa ukaribu na umakini
Nasoma sana, maandiko yao humu,nayasoma sana tu
Soma posts hizo na michango ya wadau ktk hizo posts ,utanielewaNinachosema ni ukweli Mkuu. Ni watu wachache wanaharibu sifa ya Nchi nzima Kwa kujitoa Ufahamu. Angalia tena hizo posts unazosema, zote zimeanzishwa na watu wasiozidi 10.
Sio lazima, sio lazima kwenda uwanjani,Mpira ni mchezo wa umoja, nawashauri sana akina engineer Hersi kwenda uwanjani kuicheki Simba ijumaa sio ushamba wala usaliti, unakwenda kutafuta connection na wadau mbalimbali wa soka duniani.
Nitashangaa sana siku hiyo ya kihistoria mnabaki nyumbani mnacheki gemu kwenye luninga, nendeni uwanjani hata kama hamtaki kuisapoti Simba lakn uwepo wenu unatosha jamani.
hayo mambo kwenye soka la kisasa hayapoMpira ni mchezo wa umoja, nawashauri sana akina engineer Hersi kwenda uwanjani kuicheki Simba ijumaa sio ushamba wala usaliti, unakwenda kutafuta connection na wadau mbalimbali wa soka duniani.
Nitashangaa sana siku hiyo ya kihistoria mnabaki nyumbani mnacheki gemu kwenye luninga, nendeni uwanjani hata kama hamtaki kuisapoti Simba lakn uwepo wenu unatosha jamani.
Ndio maana huna akiliNami sijapitia katikati ya miguu kama wewe