Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kijinga haya ujue hapa tunashindana kwa hoja siyo matusi, we ukileta matusi yako lazima ukae tu wengine hatuogopi ban wala nini, ifike mahali tuheshimiane wabongo,matusi siyo kabisa yaaniSamahani kwa kukukosea,naahidi sitarudia tena!!!
Ahsante SanaMa
Mambo ya kijinga haya ujue hapa tunashindana kwa hoja siyo matusi, we ukileta matusi yako lazima ukae tu wengine hatuogopi ban wala nini, ifike mahali tuheshimiane wabongo,matusi siyo kabisa yaani
Subirin CHADEMA mkishika nchi mtayafanya hayoAmewabakiza 1.Zainab Telack 2.Albert Chalamila na 3.Ally Hapi.Tanzania hii ina watu wengi mno wenye weledi wanaoweza kuwa maRC, mama piga chini haraka hawa watu watatu, ni wa ovyo mno.
Eeh bana eeeeh
Ha haMa
Mambo ya kijinga haya ujue hapa tunashindana kwa hoja siyo matusi, we ukileta matusi yako lazima ukae tu wengine hatuogopi ban wala nini, ifike mahali tuheshimiane wabongo,matusi siyo kabisa yaani