Nitashangaa sana kuwaona wale 'Natural Failures' 70 waliokosa 'Uteuzi' wa 'Uspika' wakigeukia tena kutaka Kugombea 'Unaibu Uspika' wa Bunge

Nitashangaa sana kuwaona wale 'Natural Failures' 70 waliokosa 'Uteuzi' wa 'Uspika' wakigeukia tena kutaka Kugombea 'Unaibu Uspika' wa Bunge

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi 'logically' tu kama dhamira na dhamiri yako Kuu ilikuwa ni kuwa Spika wa Bunge inawezekana ukabadilika na sasa Kuutaka Unaibu Uspika ambao haukuwa Chaguo lako la Moyoni?

Ushauri wangu wa bure tu GENTAMYCINE Kwenu nyie 'Natural Failures' mpatao 70 ambao Dada na mwana Simba SC Mwenzangu Dk. Tulia Ackson jana 'Kawabwaga' katika Kinyang'anyiro na Kuteuliwa Yeye na Chama Tawala CCM msithubutu kuutaka tena Unaibu Uspika kwani mtadharaulika na kuonekana si tu ni Majuha ( Wapuuzi ) bali pia mtaonekana ni Ndumilakuwili na hamjui mnachokitaka.
 
Hivi 'logically' tu kama dhamira na dhamiri yako Kuu ilikuwa ni kuwa Spika wa Bunge inawezekana ukabadilika na sasa Kuutaka Unaibu Uspika ambao haukuwa Chaguo lako la Moyoni?

Ushauri wangu wa bure tu GENTAMYCINE Kwenu nyie 'Natural Failures' mpatao 70 ambao Dada na mwana Simba SC Mwenzangu Dk. Tulia Ackson jana 'Kawabwaga' katika Kinyang'anyiro na Kuteuliwa Yeye na Chama Tawala CCM msithubutu kuutaka tena Unaibu Uspika kwani mtadharaulika na kuonekana si tu ni Majuha ( Wapuuzi ) bali pia mtaonekana ni Ndumilakuwili na hamjui mnachokitaka.
Kwani unafikiri wanajali hilo. This is Tanzania my friend .... No one cares!!
 
Hivi 'logically' tu kama dhamira na dhamiri yako Kuu ilikuwa ni kuwa Spika wa Bunge inawezekana ukabadilika na sasa Kuutaka Unaibu Uspika ambao haukuwa Chaguo lako la Moyoni?

Ushauri wangu wa bure tu GENTAMYCINE Kwenu nyie 'Natural Failures' mpatao 70 ambao Dada na mwana Simba SC Mwenzangu Dk. Tulia Ackson jana 'Kawabwaga' katika Kinyang'anyiro na Kuteuliwa Yeye na Chama Tawala CCM msithubutu kuutaka tena Unaibu Uspika kwani mtadharaulika na kuonekana si tu ni Majuha ( Wapuuzi ) bali pia mtaonekana ni Ndumilakuwili na hamjui mnachokitaka.
Nauliza kwa uelewa wangu hawa waligombea kupitia chama sasa what if bunge likitangaza uchukuaji form wakie da kuchukua watakataliwa?
 
Ulitaka ateuliwe nani?

Kwani chama lako lilipeleka mgombea?
Yeyote atakayeteuliwa provided anatoka Chama tawala usitegemee miujiza. Iliwahi kutokea spika mmoja tu alijitahidi Samwel Sitta, na yeye ni sababu alikuwa na raisi muelewa, vinginevyo asingefika mbali.
 
Yule Daktari wa kuchonga lazima agombee, ana kibarua kikubwa Cha kutangaza udaktari wake.
 
Back
Top Bottom