Nitasimama na SIMBA yangu daima

Simba imebaki jina tu sasa. Inaserereka kinyumenyume kama liverpool. Tutegemee simba kushika nafasi ya mwisho bila kufunga bao caf cl group stage. Na nbc premier league mtaambulia nafasi ya 5
 
Simba imebaki jina tu sasa. Inaserereka kinyumenyume kama liverpool. Tutegemee simba kushika nafasi ya mwisho bila kufunga bao caf cl group stage. Na nbc premier league mtaambulia nafasi ya 5
Dua za kuku hizi
 
Kufungwa mechi mbili tatu tu, tayari mshachanganyikiwa....

Ushabiki wa hizi timu kongwe ni kama utumwa vile...
 
Kufungwa mechi mbili tatu tu, tayari mshachanganyikiwa....

Ushabiki wa hizi timu kongwe ni kama utumwa vile...
Sio kuchanganyikiwa ni kutiana moyo na kuwaonesha maadui vile tulivyo imara.. Hata mtoto nyumbani akifeli humtukani bali unamtia moyo.. Labda hili uwaambie wale wa upande wa pili wanaoona huu ndio mwisho wa SIMBA
 
Simba imebaki jina tu sasa. Inaserereka kinyumenyume kama liverpool. Tutegemee simba kushika nafasi ya mwisho bila kufunga bao caf cl group stage. Na nbc premier league mtaambulia nafasi ya 5
 
Maneno yako yamekurudia, chunga mdomo unapo tamkia wengine mabaya usisahau karma is really
Nadhani hata tafsiri halisi ya karma hujui na namna karma inavyofanya kazi katika uhalisia wake! SIMBA kamwe haitakuwa vile mnavyoomba iwe mark these words!
 
Nadhani hata tafsiri halisi ya karma hujui na namna karma inavyofanya kazi katika uhalisia wake! SIMBA kamwe haitakuwa vile mnavyoomba iwe mark these words!
Haitakua mara ngapi? hapo hakuna timu, ulijifanya mtabiri mara Jezi ya Yanga nzito haya twambie nyie wenye jezi nyepesi mnaendeleaje?
 
Haitakua mara ngapi? hapo hakuna timu, ulijifanya mtabiri mara Jezi ya Yanga nzito haya twambie nyie wenye jezi nyepesi mnaendeleaje?
Hapa ndipo kiwango chako cha ufahamu kilipofikia, pole sana kumbe hata ile mada hukuielewa kabisa na ikakuumiza kwa namna ya ajabu mno ! Kwahiyo kwa akili yako unadhani yanga itabaki hapo ilipo siku zote? [emoji23] kuifunga Mazembe ndio umeona mko vizuri sana?
Kasome hiki kitabu kitakusaidia mengi
 
Broo kuna mvurugano wa viongozi pale klabuni,kuna watu wasaliti pale...inshu ya ule uchaguzi imeibua madudu mengi sana! Kuna watu wamesusa.
 
Sio kuchanganyikiwa ni kutiana moyo na kuwaonesha maadui vile tulivyo imara.. Hata mtoto nyumbani akifeli humtukani bali unamtia moyo.. Labda hili uwaambie wale wa upande wa pili wanaoona huu ndio mwisho wa SIMBA

Mpira pesa na mipango...

Ukiona jahazi linaenda mrama ujue kimojawapo au vyote hapo havipo sawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…