Nitasimama na SIMBA yangu daima

Shabiki maandazi
Your browser is not able to display this video.
 
tatizo ni yule gabacholi
 
SIMBA tunapitia kipindi kigumu lakini si kama maadui zetu wanavyoaminisha watu mitandaoni.. Ni changamoto za muda hazitakuwepo milele.. Ni nyakati za nzige.. Tunazitafakari...hatukati tamaa tunapambana tutazishinda na kuwa imara zaidi.. Washindi zaidi wakubwa zaidi na zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…