Nitauza matikiti maji mtaani kama juventus watatufunga.

Nitauza matikiti maji mtaani kama juventus watatufunga.

mwisho2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2016
Posts
724
Reaction score
625
IMG-20190313-WA0000.jpg
 
Nafikiri kwa sasa hivi anatamani Ronaldo arudi Madrid awe mteja wake wa kwanza. Ha ha haa
 
Ina maana Ronaldo hakuona hili tangazo akamsitiri kakaake?Ndo ashamvua nguo sasa.Matikiti na baridi lile itakuwa biashara kweli!?Labda walimnukuu vibaya ni "culkit"sio matikiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom