mlogolaje
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 1,509
- 813
Wakuu poleni na kazi,
Nimeamua kuanza kuuza ukweli baada ya kuona bidhaa hii imekuwa adimu tena sana
Kukwambia nusu SAA itagharimu sh 500 na kukueleza kwa mda wa SAA nzima itagharimu maisha yako
Nasema maisha yako kwa sababu lolote laweza kukutokea kama vile kuwachukia watu,kutowaamini tena na sitapenda vifo vitokee
Nitauza ukweli kwenye maeneo yafuatayo Siasa,Ndoa na dini
Napatikana maeneo mengi nazunguka kama mmachinga
Sababu za kuanza biashra hii ni kutokana na uongo ulio enea kwenye siasa,ndoa na dini
Nimeamua kuanza kuuza ukweli baada ya kuona bidhaa hii imekuwa adimu tena sana
Kukwambia nusu SAA itagharimu sh 500 na kukueleza kwa mda wa SAA nzima itagharimu maisha yako
Nasema maisha yako kwa sababu lolote laweza kukutokea kama vile kuwachukia watu,kutowaamini tena na sitapenda vifo vitokee
Nitauza ukweli kwenye maeneo yafuatayo Siasa,Ndoa na dini
Napatikana maeneo mengi nazunguka kama mmachinga
Sababu za kuanza biashra hii ni kutokana na uongo ulio enea kwenye siasa,ndoa na dini