Nitawaachaje Ndugu Zanguni?

Nitawaachaje Ndugu Zanguni?

Kipenseli

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
825
Reaction score
1,074
Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]

kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]
 
Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]

kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda tu mzee baba wanazaliwa wengine kila siku watakuriplesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]

kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka hesabu ulizikimbia darasani.
 
Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]

kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
Somo la hesabu lilikusumbua sana darasani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]

kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]
Mkuu wewe nenda tu ikiwezekana nenda na ndugu zako 57, mimi nibaki na nchi
 
Back
Top Bottom