Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 825
- 1,074
Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]
kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]
kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]