Nenda tu mzee baba wanazaliwa wengine kila siku watakuriplesiKila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]
kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka hesabu ulizikimbia darasani.Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]
kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Somo la hesabu lilikusumbua sana darasani.Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]
kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Milion 59 ukitoa moja unapata 58?
Mkuu wewe nenda tu ikiwezekana nenda na ndugu zako 57, mimi nibaki na nchiKila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52]
Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 " [emoji52]
kwaiyo Naamua kubaki Maana naona idadi ya watu itapungua sana[emoji120]
Mbaki millioni moja?Mkuu wewe nenda tu ikiwezekana nenda na ndugu zako 57, mimi nibaki na nchi
Yes yes tutabaki vizuri tu
Komesha Corona[emoji849]Hesabu itabaki kuwa ugonjwa wa taifa, hata kutoa mtihani.