Nitawadharau sana wananchi wakijiona giant kwa kuifunga timu iliyoshuka daraja

Nitawadharau sana wananchi wakijiona giant kwa kuifunga timu iliyoshuka daraja

Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
KWa hiyo zile habari za Yanga kufungwa 3 bila na timu isiyofungwa kwao ndiyo mnazi yeyusha kwa style hiyo?
 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Acha uzushi wewe, kwenye mashindano haya hadi sasa ni Yanga pekee iliyojipigia Marumo.
 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Kolo wizard mmoko.... Aaaah ah wamotooooo! Mtoto ni faya.. mtoto ni motooo
 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Mbumbumbu at your best🙌🙌🙌🙌🙌
 
20230517_212138.jpg
 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Nakuona popoma katika ubora wako ule ule.
 
Yanga inabidi wawashukuru sana Al hilal kwa kuwatoa kwenye caf champion league hatua za awali maana amepata bahati ya kukutana na vibonde tupu ni kujipigia tuu ila ki uhalisia yanga hawana mpira wa kutisha ni kwamba anakutana na vitimu vyenye uwezo mdogo. yanga hii hii iliyofungwa goli mbili bila na simba tena iliwa na kikosi kamili ndo timu ya kuisifiwa imeimarika
 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Kasome post namba 5 kwenye uzi huu hapa chini ya bwana changaule

 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Nyockle
 
Yanga inabidi wawashukuru sana Al hilal kwa kuwatoa kwenye caf champion league hatua za awali maana amepata bahati ya kukutana na vibonde tupu ni kujipigia tuu ila ki uhalisia yanga hawana mpira wa kutisha ni kwamba anakutana na vitimu vyenye uwezo mdogo. yanga hii hii iliyofungwa goli mbili bila na simba tena iliwa na kikosi kamili ndo timu ya kuisifiwa imeimarika
Haya futa machozi totooo!
 
Ni ukweli usiofichika wana timu bora,tuache ushamba wa kubisha bisha kila kitu,...hebu fanya analysis ya viungo wa kati ambapo ndo soka huchezwa mara zote..Angalia mchanganuo ufuatao then jijibu mwenyewe

YANGA..

AUCHO([emoji736]️)
MUDATHIR([emoji736]️)
MAUYA([emoji736]️)
SURE BOY([emoji736]️)
BANGALA([emoji736]️)

SIMBA...

MZAMIRU([emoji736]️)
KANOUTE([emoji736]️)
KAPAMA([emoji777]️)
SAWADOGO([emoji777]️)
MKUDE([emoji777]️)
NYONI([emoji777]️)

N.B..NIWAZI KUWA YANGA WANA ADVANTAGE YA KUWA NA KIUNGO BORA MARA NNE ZAIDI YA SIMBA.
 
Konyagi+kvant+kisungura, ukichanganya hivi ndio matokeo yake mtu anaanzuka upupu
 
Back
Top Bottom