Nitawamiss nyote

Nop ,najitoa mojakwamoja
Umetishiwa taraka nyingi sijui ngapi au nini? Maana kuna wanaume wana wivu hata akiona mke wake anachangia la maana kinamuuma. Namshukuru lazizi wangu huwa anasoma hata post zangu na nikitukanwa ananibusu kunipa moyo. Kama ni hilo mwaya ndoa ndoana kama ni lingine, think twice hapa ni burudisho la roho, akili na mwili. JF forever. Nilikuwa guest since 2008 baadaye nikaona ya ni jiunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…