Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
- Thread starter
-
- #221
[emoji23]unaleft kwa maneno tu alaf unaendelea kutypeKwa hiyo sijaleft
Sakayo left
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Hakuna ku left kwa member wote wengi sifa za Sakayo, ama zinazofafanana kama huyu Queen wa kiarabu.
Nmekua jinii[emoji26][emoji26]Sio Jini Kweli Hili
HahahaHakuna ku left kwa member wote wengi sifa za Sakayo, ama zinazofafanana kama huyu Queen wa kiarabu.
Hahahaha uyo ticha ,ticha gani[emoji23]mbn mkewe hajanitafuta nimpe funzo,acha utani banaMkuu acha masihara bwana. Unajua we ndo member pekee uliealikwa ktk harusi ya Ticha mwenye PhD ili ulete mrejesho huku jukwaani. Sasa mkuu itabidi umpe mtu kadi ya harusi ili alete mrejesho.
Yuko wapi huyo Kivuruge wako sasaaahapana aisee njo umwambie mwenyewe unamjua yule
OkeyShaloom
[emoji23][emoji23]si mzima uyojini tena [emoji2] [emoji2]
hahahah yuko kitaa cha home si unajua hatembeiYuko wapi huyo Kivuruge wako sasaaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Nmekua jinii[emoji26][emoji26]
Si ulisema umealikwaHahahaha uyo ticha ,ticha gani[emoji23]mbn mkewe hajanitafuta nimpe funzo,acha utani bana
Unatuacha[emoji41][emoji41]unalia nn Sasa
nimecheka sana[emoji23][emoji23]si mzima uyo
Hahaha[emoji23]unaleft kwa maneno tu alaf unaendelea kutype
Hali zenu wapendwa [emoji2].
Nianze bismillah....
Nilijiunga jf miez michache tu iliyopita,nashkuru nimejifunza mengi kupitia jf,pia wapo waliojifunza kutoka kwangu japo ni machache.
nilijiunga kutokana na kutoa mawazo tu kwa mda(temporarly),nlitaka kujitoa mda kdg lkn nkavuta subra,lkn nahis sasa wakati umewadia wa kujitoa jf.
Hakika nitawamiss nyote,nitawakumbuka ,kama yupo ambaye nilimkosea ningeomba anisamehe,kwa alienikosea nilishasamehe mda.
Mwenye neno la mwisho la kuongea ndani ya sikumbili hizi aseme,niliemkosea aje aseme ntamuomba msamaha pia hapahapa,nataka niiache jf kwa roho safi kabisa,staki niondoke hali ya kua mtu kaniwekea dukuduku.
Ntabaki jf mwisho ijumaa usk(kesho),baada ya hapo sitopatikana tena jf.
Nawapenda nyote na nitawakumbuka nyote.[emoji257]
Hata kama Mimi ni Mfupi kama Zakayo lakini nitakuwa juu ya mti kupepesa macho kumtafuta huyo Sakayo popote alipo na kumlejesha tena hapa Jamvini.Hahaha
Lazima Sakayo aleft bhana
[emoji15] [emoji15] mbona mcheza kwaito mpaka sasa sijaambiwaWe acha tuu...
Nataka kuwolewa
Hahahahahahah yuko kitaa cha home si unajua hatembei