Nitawamiss nyote

Nitawamiss nyote

Ulivyosema unataka kujitoa humu si kudhani kama ni mapema hivi. Bila shaka umetafakari kwa kina na kuamua kujitoa ili ukabiliane vizuri na majukumu yako. Wengi humu tulishaanza kukuzoea kwa michango yako mizuri iliyoenda shule na yenye hekima na busara. Nakutakia kila la heri na baraka kwenye majukumu yako.

Hali zenu wapendwa [emoji2].
Nianze bismillah....
Nilijiunga jf miez michache tu iliyopita,nashkuru nimejifunza mengi kupitia jf,pia wapo waliojifunza kutoka kwangu japo ni machache.

nilijiunga kutokana na kutoa mawazo tu kwa mda(temporarly),nlitaka kujitoa mda kdg lkn nkavuta subra,lkn nahis sasa wakati umewadia wa kujitoa jf.

Hakika nitawamiss nyote,nitawakumbuka ,kama yupo ambaye nilimkosea ningeomba anisamehe,kwa alienikosea nilishasamehe mda.

Mwenye neno la mwisho la kuongea ndani ya sikumbili hizi aseme,niliemkosea aje aseme ntamuomba msamaha pia hapahapa,nataka niiache jf kwa roho safi kabisa,staki niondoke hali ya kua mtu kaniwekea dukuduku.

Ntabaki jf mwisho ijumaa usk(kesho),baada ya hapo sitopatikana tena jf.

Nawapenda nyote na nitawakumbuka nyote.[emoji257]
 
Hahaha

Lazima Sakayo aleft bhana
Hata kama Mimi ni Mfupi kama Zakayo lakini nitakuwa juu ya mti kupepesa macho kumtafuta huyo Sakayo popote alipo na kumlejesha tena hapa Jamvini.
 
Back
Top Bottom