Kizur kula na mwenzio[emoji2] [emoji2] [emoji2] Ngumu kumeza aisee
[emoji23]share naanza kuivunja ,Share gani tena
Sakayo add Arabian qeen
Mm sitaki kihivyo. Nataka uwe na msimamo na mm tu no matter yupo ama hayupo[emoji38] [emoji38]Nmechagua uande wako shem sina namna huyu kesho anaondika ntabaki na nan?
Hii vita ngumu ila tutashinda ngoja tuone mwisho wakeSanteeee[emoji12]
Hutaki no yangu ee[emoji3][emoji85]Sjakugeuka ila...... unajua huyu shemej yangu sana nje ndan
Mnoooo[emoji23][emoji23][emoji23]tunakujaza mawazo ee
Mtu anayeaga huwa anatia huzuni sana kwa aliowaaga, Cha ziada kinaweza kupatikana pia. Binafsi instagram nilitoka mwaka wa pili huu. Nita install kwa ajili yako.[emoji3][emoji85]wonders.kwanini !!Kuna Cha ziada kimekuvutia,najua kwasbabu ya kuwaaga,Ila mwisho ntaandika jina la account yang ya insta nawaalika nyote kule mtajifunza mengi pia
[emoji3][emoji3]Yamekuwa hayo tena [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sasa y anakuombea hivyo wkt huruma ishakuingiaAnasema panapo majaaliwa[emoji13]
Ahaa hilo tu ndio unashindwa ungekubal tu halafu ule muda wa kunena kwa lugha ungenenea mauongon mwake akiuliza unasema roho mtakatifu kakushukia
Ntamwambia emmyta awe anakupigiaHutaki no yangu ee[emoji3][emoji85]
Insha Allah sitorud tena jf,ndio Mana nkaaga.na kuaga ni lengo la kwa wale niliozeana nao tu,kama kwako ni normal pita tu mkuu[emoji15]So what hii mambo mnajiunga then baadae kuja kutuaga halafu baada ya miezi michache kurudi tena hatutaki. Uliingia kimya toka kimya.
Sawa ila sio kwa kulazimisha huko [emoji23] [emoji23]Kizur kula na mwenzio
Hahahaha usiniombe ile nanihii[emoji15]Ha ha ha ha ukwel mwengne sio mzur
Nani kakuvuruga[emoji23]Mshanivuruga teali
Hahaha[emoji23]share naanza kuivunja ,
Hadi anatilisha huruma maskini[emoji85]
Siwez kumfanyia hivo
Hahaha[emoji23]sikuibii beby wako tena nshaghairiBby angu ana vitu adimu siko tayar kumpoteza mie[emoji85]
Masha Allah,Allah akuekeSisi wengine tumeapa mpaka kufa na jf wengine wanajitoa
SanteeeHahaha[emoji23]sikuibii beby wako tena nshaghairi