Nitawamiss nyote

Nitawamiss nyote

Umefanya jema sababu hapa ni tulizo la kila kitu. Hizo pm usipozijibu si watachoka. Badili avatar weka mbaya ili wasikufate au acha neutral huna haja ya kuweka chochote ila hilo jina mhu najua shiiida. Watu wanavutiwa na mambo mengi, ID, avatar, na contribution zako hivyo kama contribution zako ni nzuri usilalamike ila kama ni hizo mbili badili picha na jina ila ubaki.
Insha Allah my ntafanya hivo
 
Back
Top Bottom