Nitawashaje kifaa cha 250v bila umeme wa TANESCO?

Nitawashaje kifaa cha 250v bila umeme wa TANESCO?

Fridge "ndogo" ni ngumu sana kuijua kwa kuwa kila mtu anamtazamo tofauti juu ya ukubwa wa kitu.
Kwa vifaa vya umeme ukubwa au udogo wa kitu tunautambua kwa Power Rating ya kifaa husika, angalia fridge yako ina Watts ngapi?

Ukishajua ndipo uliza hapa utapewa jibu sahihi.
 
Je kifaa cha 41kw lazima uwe na transformer ndogo??
 
Back
Top Bottom