newbeliever
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 248
- 48
naomba msaada wenu, nitumie njia gani wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kunisaidia kujibu.tumia jenereta
mkuu generator inatumia lita ngapi za mafuta kwa siku na inauzwa sh ngapi? samahan lakinAsante kwa kunisaidia kujibu.
Ukubwa wa jenereta unategemea na mahitaji yako. Kwani wewe unataka kuwasha nini?mkuu generator inatumia lita ngapi za mafuta kwa siku na inauzwa sh ngapi? samahan lakin
fridge ndogo mkuuUkubwa wa jenereta unategemea na mahitaji yako. Kwani wewe unataka kuwasha nini?
battery gani mkuu? na inaweza kugharimu sh ngapi? nataka kuwasha fridge ndogo kila siku asubuhi mpaka jionbattery plus invetor
Kifaa gani hicho cha 250 ambapo umeme wetu huu wa kawaida hauwezi kukioperate?naomba msaada wenu, nitumie njia gani wakuu?
sijui nimekosea kusoma au lah inshort ni fridge ndogoKifaa gani hicho cha 250 ambapo umeme wetu huu wa kawaida hauwezi kukioperate?
Friji ndogo ndio isitumie umeme wa tanesco kivipi?sijui nimekosea kusoma au lah inshort ni fridge ndogo
umeme wa tanesco haujafika hukuFriji ndogo ndio isitumie umeme wa tanesco kivipi?