Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Shika adabu yako wewe msukule mm sina vyeti feki. Kama kweli huyo juha wenu anachukia vyeti feki mbona alimwacha BASHITE ofisini mpaka akakataliwa kigamboni?Wewe km umefukuzwa kazi kwa vyeti vya kugushi pole
Kazi sio lazima ofisini tu, kufuga hakuitaji cheti
Mbona hajaenda jeshini na polisi?
Mm nimesoma vizuri najitambua ndo mana najua kwamba
MAGUFULI alipora KOROSHO
Aliuza na kuteka waliompinga
Ameshindwa kuongeza mishahara coz pesa hana
Najua mengi mana nina akili guru. Mm siyo msukule kama wewe mzee