sio hivo ndugu yangu uhai wa mtoto kwanza madai baadae ,utafuatilia utazungushw utaishia mtoto kukatw mguu ndugu yangu!!!huyo jamaa yako ni lazy affair ndio maana hata mtoto wake kampeleka kwenye shule iliyooza.
Mwimbie aje yeye mwenye kuuliza, kwanini anakutuma wewe?
sio hivo ndugu yangu uhai wa mtoto kwanza madai baadae ,utafuatilia utazungushw utaishia mtoto kukatw mguu ndugu yangu!!!
Kwahiyo yeye anachotaka ni kupatiwa pesa za matibabu au kuwajibishwa kwa walioacha geti lililooza bila kulitoa?
Bado siajelewa uhusino wa kuzungushwa na mguu kukatwa.[
Mpeleke mahakamani na udai gharama za matibabu na gharama nyinginezo. Sheria ipo. Inaitwa sheria ya madhara au Torts. Ukienda kwa wakili atakupa maelezo ya ziada.
Kwahiyo yeye anachotaka ni kupatiwa pesa za matibabu au kuwajibishwa kwa walioacha geti lililooza bila kulitoa?
Bado siajelewa uhusino wa kuzungushwa na mguu kukatwa.[
Ndugu inaonesha wewe ni complicator ila ni hivi..kwa kitu kama hicho law of torts( sheria ya madhara) inahusika..anaweza dai costs..za matibabu,distress whatevr u name it kuzungushwa ni hivi watu wengi hawajui sheria so mwenye geti anaweza kataa kulipa kwa kusema kua ni bahati mbaya en blah blah so by the time wanapelekeshana kwamba kuhusu kulipana na etc mtoto mguu ushakua ktk hali mbaya na kuhitajika kukwatwa etc..ni nje ya box tu mzaz..oooooiiiiiiiii