Nitawatofautishaje wanawake hawa ..........................

Nitawatofautishaje wanawake hawa ..........................

tumia litmus paper hakika utagundua tu...
 
Toka zako Rutashubanyuma ninyi mnajua kutusema sisi tu. Ninyi hapana eeh......

[MENTION]LD[/MENTION] Siku hizi naona umekuwa mkali isivyo kawaida.....................lakini mchovya na mchovywa........wote lao ni moja hakuna aliye na manung'uniko...........hivyo hakuna wa kumsema mwenzie ngoma si ni dorrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrooooooooooooooooooooooooooooooooooo tu wajamani?
 
Natamani mngejua maana ya hili neno kwa jinsi linavyotumika pale Kasita Seminary, walahi saa hizi tungekuwa tunaongelea 'ban tena ya muda mrefu tu!

ndyoko..................tamani yako ni ya kwetu sote basi tufafanulie................kipi kikushindacho?
 
Last edited by a moderator:
viungo vya mwili vinakuwa havina ushirikiano na uwiano ndo tofauti hiyo.

sister hili lingekuwa ni kweli wangelifikishana kule walikofikishana?
 
Last edited by a moderator:
bora umesema madame LD, make wamezidi. kunya anye kuku akinya bata kaharisha mwe!

Charminggirl........ni ukweli usiopingika bata kamwe hanyi bali huarisha tu...........pekua msamiati mwingineo...................duh
 
Last edited by a moderator:
Mbona mnawasema wanawake tu,Mbona hata wanaume Artificial wapo Mbona mnawaandama wanawake tu?
 
Back
Top Bottom