nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 288
- 230
Nina uwezo wa kusave 600.000 kila mwezi nko mkoani Arusha bado sina kiwanja ni mfanyabiashara mdogo.
Je, nitaweza kujenga ka self contain na kununua kiwanja kwa hiyo saving au najidanganya?
Je, nitaweza kujenga ka self contain na kununua kiwanja kwa hiyo saving au najidanganya?