Nitawezaje kublock number ya simu sumbufu?

Najua kuna cm nyingi za mchina zina option ya kuweka hadi namba tano tofauti kwenye back/black list ama ya cm au sms! Nadhani hiyo inaweza kusaidia (akipiga tu anaambiwa buzy) Angalizo:
wale wanaodaiwa naomba wac2mie opt hii unaweza kukatwa mapanga !
 
Hoja yangu sio kukufundisha kublick hio simu bali naomba ujibu maswali yafuatayo

1. Kwa nini umeweka post hii ya kublock simu huku kwenye forum ya mahusiano na mapenzi (Hii inamaanisha nini)

2. Je huyo anaekupigia anatafuta nini kwako? ANakudai (then mlipe umalize tatizo) Anakutaka kimapenzi (then mwambie ukweli au mpe anachokitaka baba...!)

3. Ni bóra uwe muwazi kwa huyo anekupigia hizo simu ili uondokane na hio kero, kublock number au kubadilisha namba itatatua tatizo kwa muda mfupi tu...!
 
Hiyo ni kazi ndogo. Kama una simu ya Nokia yenye option ya Internet fungu kitu kinaitwa Ovi halafu dowload Block listi. Hiyo program ikishaingia kwenye simu yako,utaweza kufanya chochote utakavyo ktk simu yako.
 
Pokea unakaa kimya, i hope u are the one who entertain her, if u have a little bitter words to her she will gradually stop, kama ww unampa sweet honey words ndio u r accelereting her, pokea cm kaa kimya, no reply, no sms, no call. no u, no her, no what, no when, no..... period this is only possible if ur serious Rev.
 

Mchungaji Masa kwani ukimwambia tu unaboreka na simu na beeping zake hawezi kuacha hayo matabia ?
hebu jaribu kumpigia na kumwambia ukweli
 
google swali lako,utapata majibu because watumiaji wa iphone ni wengi na its likely wengine wamesha encounter tatizo kama lako
 
Hiyo ni kazi ndogo. Kama una simu ya Nokia yenye option ya Internet fungu kitu kinaitwa Ovi halafu dowload Block listi. Hiyo program ikishaingia kwenye simu yako,utaweza kufanya chochote utakavyo ktk simu yako.

Kumbe asante kwa hili ngoja nijaribu
 
Shida ya hii inablock all incoming calls: unapiga * # 33# hii inactivate barring all incoming calls....

Pole mkuu ....download kitu inaitwa iblacklist au mcleaner kwa kutumia cydia kwenye iphone yako..then number yake unaiblacklist hatakaa akupate kamwe...Kwa maelezo zaidi ni PM kama ukikwama..it does very well in my iphone 4..pole sana mpwa
 
Ulizidisha karufundi kaka,nunua samsung ni kiboko iaoption za kublock number zote unazotaka,au mchungaji uliramba chumvi?
 
Pasta unaopekea simu yake na kuiweka pembeni.....huongei kitu.....atajifunza!
 
Habari Mkuu. Akipiga usipokee, itafikia mahali ataona hapa sitakiwi ataacha. Pole
 
 
Rev.Masa... Ili kuepukana na matatizo kama hayo mbeleni kuna options mbali*2 mfano;

1. Uwe unamiliki simu mbili,moja kwa ajili ya vimeo tu... Ambayo waweza kuizima hata kwa wiki mbili hadi mwezi mmoja...
2. Endapo mdada yeyote anakusumbua akipiga mpatie mdada mwingine apokee simu... Dawa ya MOTO ni MOTO...
3. Tembelea site hii Software for Nokia N97 / E71 / E75 / E72 / E63 / N96 / N85 / N95 / 6220 / 5230 / 6110 / X6 / 5800 Xpress Music / Samsung OMNIA HD/ Sony Ericsson Satio / MOTORIZR Z8 kwa option mbali mbali mfano;kama upo Guest ukapigiwa simu waweza uka-bofya option kama vile upo K'koo,Barabarani,Ofisini,baa nk... Ukablock cmu,etc...
 

Mpwa!

Nimekusoma ila wakati mwingine ni vizuri kumalizana na rafiki kwa heri bila shari. Nadhani unakumbuka wahenga husema kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi. Nimejaribu kuwa napokea na kuweka simu karibu na TV ama Radio. Mdada kakomaa atakata na kupiga tena na kulalamika kuwa anajua unachomfanyia analalamika weee.

Ni Kazi kaka kuhandle hawa viumbe
 


1. Kama umekwazika na mimi kuweka jukwaa la mahusiano basi nitawaomba MOD wahamishie Jukwaa la Uchaguzi. Are you happy now?

2. Huwa sidai wala kudaiwa na mtu, kama ninashida huwa napoka kwenye financial institutions. Huwa sikopeshi pia maana najua madeni huvunja urafiki hasa kwa wanaume na ukimkopesha mdada mtaishia kupigana mikasi. Kwazo lako halina logic sorry

3. Walau umeweza changia kitu cha maana. Asante
 

Hii inachangia sana huenda! Shida wengine tulizaliwa kwa ajili ya mapenzi sina bitter words, huwa sipokei muda mrefu na yeye atapiga hadi nipokeee. Niko serious mazee ila huyu ni kiboko aisee nimejaribu kipindi fulani kuwa bitter na yeye hajali wala kuelewa.
 
Mchungaji Masa kwani ukimwambia tu unaboreka na simu na beeping zake hawezi kuacha hayo matabia ?
hebu jaribu kumpigia na kumwambia ukweli

Nimefanya hivyo mara kadhaa na jibu ni lakukatisha tamaa eti I cant leave bila kukusikia najua wanichukia lakini vumilia lol ni balaa kubwa dawa ni kublock tu.
 
Pole mkuu ....download kitu inaitwa iblacklist au mcleaner kwa kutumia cydia kwenye iphone yako..then number yake unaiblacklist hatakaa akupate kamwe...Kwa maelezo zaidi ni PM kama ukikwama..it does very well in my iphone 4..pole sana mpwa

Mpwa wa ukweli! Nimedownload hii kitu na box. Ngoja niinstall nitakupa mshindo nyuma (feed back) Asante kwa PM pia. Nitakucheki baadaye
 

Hahahahaha wewe kiboko nimependa option ya kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…