Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimewashtukia Chauro...wanagawa no kama lawalawa wakitafutwa tena tabu...lakini hapa Mchungaji kashafanya finishing sasa anaogopa Mzenj acshtukie....hahahaha...Mchungaji nipe no ya huyo dada nataka urafiki nae nimsaidie kukusumbua.
Nimekupata Muungwana.
Hahahaahah ngoja nikupe +255 65 .....hizi tarakimu zingine zinashida kuziandika ngoja nikuwekee kwenye PM. Yaani best unataka ungana naye tena kusumbua chungaji?
Wala usikonde najua unawaza yale mambo yetu yaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Mkuu umesisitiza sana ngoja nifanye fasta.
Kama anakukera sana nunua simu yoyote ya kichina hasa hizi ambazo hazina maandishi ya kiarabu kwenye keypad, nenda kwenye call setting, nenda kwene advance setting, utakuta kitu kinaitwa Black list, hapo sasa utablacklist zoote unazotaka, uzuri ni kwamba kila akipiga itakua inamuandikia network error, yangu ni blackberry ya kichina na inauwezo wa ku-blacklist hadi 25 numbers, sasa hapo utablack list hadi wakweo na wote wanaokudai.. Asante mchina ila pia punguza kutongozatongoza, sorry nilikua namaanisha kutangazatangaza ovyo
Kama anakukera sana nunua simu yoyote ya kichina hasa hizi ambazo hazina maandishi ya kiarabu kwenye keypad, nenda kwenye call setting, nenda kwene advance setting, utakuta kitu kinaitwa Black list, hapo sasa utablacklist zoote unazotaka, uzuri ni kwamba kila akipiga itakua inamuandikia network error, yangu ni blackberry ya kichina na inauwezo wa ku-blacklist hadi 25 numbers, sasa hapo utablack list hadi wakweo na wote wanaokudai.. Asante mchina ila pia punguza kutongozatongoza, sorry nilikua namaanisha kutangazatangaza ovyo
nimewashtukia Chauro...wanagawa no kama lawalawa wakitafutwa tena tabu...lakini hapa Mchungaji kashafanya finishing sasa anaogopa Mzenj acshtukie....hahahaha...Mchungaji nipe no ya huyo dada nataka urafiki nae nimsaidie kukusumbua.
Thatha nimewaelewa,,,
mpenz wangu mchungaji.waskudanganye, tumetoka mbali sana na ciwez kukuacha ng'o,
Mzanzibar atajiju, kwa tabia yake ya kudandia gar kwa mbele. NAJIANDAA KWENDA sumbawanga kukurudisha mpenz wangu.
Wana JF msimpotoshe mpenz wangu mtamu wa maisha!
unatoa lami unaweka lami, unatoa vumbi unaweka vumbi!Vunja ukimya...sema na mwenzio!