Nitawezaje kublock number ya simu sumbufu?

Nitawezaje kublock number ya simu sumbufu?

nimewashtukia Chauro...wanagawa no kama lawalawa wakitafutwa tena tabu...lakini hapa Mchungaji kashafanya finishing sasa anaogopa Mzenj acshtukie....hahahaha...Mchungaji nipe no ya huyo dada nataka urafiki nae nimsaidie kukusumbua.

Hahahaahah ngoja nikupe +255 65 .....hizi tarakimu zingine zinashida kuziandika ngoja nikuwekee kwenye PM. Yaani best unataka ungana naye tena kusumbua chungaji?
 
, akisumbua sana divert kwangu hiyo namba nikusaidie huo usumbufu kwani nina tatizo la kukosa usingizi usiku japo nipate mtu wa kunipa company
 
Hahahaahah ngoja nikupe +255 65 .....hizi tarakimu zingine zinashida kuziandika ngoja nikuwekee kwenye PM. Yaani best unataka ungana naye tena kusumbua chungaji?

Ayaaaaaaaaaa Rev. umesha nitosa mm mpwao raha kula na nduguyo
 
, akisumbua sana divert kwangu hiyo namba nikusaidie huo usumbufu kwani nina tatizo la kukosa usingizi usiku japo nipate mtu wa kunipa company
 
, akisumbua sana divert kwangu hiyo namba nikusaidie huo usumbufu kwani nina tatizo la kukosa usingizi usiku japo nipate mtu wa kunipa company

Mkuu umesisitiza sana ngoja nifanye fasta.
 
wakuu samahani kidogo wakuu..........!

what is going on hapa?
 
Mkuu umesisitiza sana ngoja nifanye fasta.

Usichelewe sana kasimu kenyewe ndo kanaisha chaji sasa, hawa watu wasumbufu wala usiogope hua ninakua na dawa ya kuawasaidia, tafadhali ili uishi kwa amani lete hio namba fasta, hata kama ikiwa ni landline au ile inayoandika kwa rangi nyekundu maneno haya Unknown Caller wee lete mie ntapokea tu
 
Kama anakukera sana nunua simu yoyote ya kichina hasa hizi ambazo hazina maandishi ya kiarabu kwenye keypad, nenda kwenye call setting, nenda kwene advance setting, utakuta kitu kinaitwa Black list, hapo sasa utablacklist zoote unazotaka, uzuri ni kwamba kila akipiga itakua inamuandikia network error, yangu ni blackberry ya kichina na inauwezo wa ku-blacklist hadi 25 numbers, sasa hapo utablack list hadi wakweo na wote wanaokudai.. Asante mchina ila pia punguza kutongozatongoza, sorry nilikua namaanisha kutangazatangaza ovyo

Kajibu for my behalf
 
Kama anakukera sana nunua simu yoyote ya kichina hasa hizi ambazo hazina maandishi ya kiarabu kwenye keypad, nenda kwenye call setting, nenda kwene advance setting, utakuta kitu kinaitwa Black list, hapo sasa utablacklist zoote unazotaka, uzuri ni kwamba kila akipiga itakua inamuandikia network error, yangu ni blackberry ya kichina na inauwezo wa ku-blacklist hadi 25 numbers, sasa hapo utablack list hadi wakweo na wote wanaokudai.. Asante mchina ila pia punguza kutongozatongoza, sorry nilikua namaanisha kutangazatangaza ovyo

Thatha nimewaelewa,,,
mpenz wangu mchungaji.waskudanganye, tumetoka mbali sana na ciwez kukuacha ng'o,

Mzanzibar atajiju, kwa tabia yake ya kudandia gar kwa mbele. NAJIANDAA KWENDA sumbawanga kukurudisha mpenz wangu.

Wana JF msimpotoshe mpenz wangu mtamu wa maisha!
 
lawalawa ingeendelea kuwa tamu mbona hata asingeomba ushauri unafikir ungemuona humu angekuwa kule kwenye siasa kama ni kiduku lazima mchungaji kashapata matege
nimewashtukia Chauro...wanagawa no kama lawalawa wakitafutwa tena tabu...lakini hapa Mchungaji kashafanya finishing sasa anaogopa Mzenj acshtukie....hahahaha...Mchungaji nipe no ya huyo dada nataka urafiki nae nimsaidie kukusumbua.
 
Thatha nimewaelewa,,,
mpenz wangu mchungaji.waskudanganye, tumetoka mbali sana na ciwez kukuacha ng'o,

Mzanzibar atajiju, kwa tabia yake ya kudandia gar kwa mbele. NAJIANDAA KWENDA sumbawanga kukurudisha mpenz wangu.

Wana JF msimpotoshe mpenz wangu mtamu wa maisha!

Inamaana wewe ni Stella wa Magomeni?
 
Back
Top Bottom