Y?....afanye kificho kaama wewe, akibugi tu nakomalia.
Hahahahahaaaaaaaaaaaaa!
Familia ya babu yote leo imeingia mitini......Ila Roya na Rose kutokuwepo jamvini mida hii ni coincidence au?
hahahaha!
WE CAN PUT OUR BLAMES ALL ON BABUUUUUUUUUZ
Mpwa!
Nimekusoma ila wakati mwingine ni vizuri kumalizana na rafiki kwa heri bila shari. Nadhani unakumbuka wahenga husema kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi. Nimejaribu kuwa napokea na kuweka simu karibu na TV ama Radio. Mdada kakomaa atakata na kupiga tena na kulalamika kuwa anajua unachomfanyia analalamika weee.
Ni Kazi kaka kuhandle hawa viumbe
humu ndani mutamu san nimemkimbiza na mada yake MCHUNGAJI,WACHA ASHTUKE, ATI WEWE NI STELLA WA MAGOMENI...
Mi niliona kelele, labda ungeuliza namna ya ku-black list unwanted calls na SIO KUTONGOZA MADEM KSHA MNAWAPGA CHINI, ARABUNI UTANYONGWA....
EM MAN AND A HALF!
Rev Kwa kugonga Senkyu hujambo, au ulisoma Seminary Mkuu?? Haaaa
hahahahahah! lol! JF bwana!
Fidel80 nisaidie! Ile ilikuwa ni lugha ya kibiashara zaidi.
Ni kweli kabisa hata mimi natumia simu ya mchina na kuna namba moja hivi sumbufu nimeizuia.Najua kuna cm nyingi za mchina zina option ya kuweka hadi namba tano tofauti kwenye back/black list ama ya cm au sms! Nadhani hiyo inaweza kusaidia acje
Angalizo:
wale wanaodaiwa naomba wac2mie opt hii unaweza kukatwa mapanga !
mnh bora JF mmenifungua macho,
kuna mtu nilikuwa nikimtext mara zote nilikuwa naambiwa 'message not delivered'...
kumbe ameniblock???:embarrassed::embarrassed:
wewe mtu najua ni memba wa JF na unasoma hapa,
ungeniambia mie nisingekusumbua,
unavyonifikiria sivyo kabisaaa,....
mnh bora JF mmenifungua macho,
kuna mtu nilikuwa nikimtext mara zote nilikuwa naambiwa 'message not delivered'...
kumbe ameniblock???:embarrassed::embarrassed:
wewe mtu najua ni memba wa JF na unasoma hapa,
ungeniambia mie nisingekusumbua,
unavyonifikiria sivyo kabisaaa,....