Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
wakuu samahani kidogo wakuu..........!
what is going on hapa?
Teamo is back!
Amefufuka kama alivyosema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu samahani kidogo wakuu..........!
what is going on hapa?
Inamaana wewe ni Stella wa Magomeni?
haleluya haleluya!...........Teamo is back!
Amefufuka kama alivyosema
sasa mkuu hebu tujikumbushe enzi za MZANZIBARI kidogo..................Hahahah mwambie karibu sana asipende kwenda gizani!
Teamo is back!
Amefufuka kama alivyosema
haleluya haleluya!...........
nina nguvu kaa LOW-ASSA
Inamaana wewe ni Stella wa Magomeni?
kumbe tuko wengi hivi. Nilidhani ni mm tu napata shida hii.Nimejitahidi kumpoteza kwa kila mbinu imeshindikana ndugu yangu, anamalizia hasira na nuisance calls.
http://consumers.ofcom.org.uk/2009/07/malicious-or-nuisance-calls/
Mimi nakushangaa, mbona sku za mwanzo hukuwa hvyo? Ulikuwa mwanaume handsam, mpole, mtulivu na mwenye mapenz ya kweli...
Kinachoniuma mimi, ulipontongoza ulisema utanioa. Sasa ndoa iko wap? MImi sikuelew, stak kamwe kuona unanidump...thubutu.
Hebu muulize Mchungaji kama ameshafanikiwa kublock namba ya msumbufu.
Tunataka tuanze mjadala wa wapi tukamuadhibu Roya baada ya saa za kazi. Haiwezekani mpaka saa hizi Rose haja log in JF
Usirudie tena.....:redfaces::redfaces::redfaces:
Babu uko vizuri sana kusoma alama za nyakati.....hata mwanao Maty haonekani leo....:whoo:
hahahahahahahahah!Babu uko vizuri sana kusoma alama za nyakati.....hata mwanao Maty haonekani leo....:whoo:
Nikikaa kimya huchelewi kusema na mjukuu naye haja log in.
Shut your fingers Le Jenereishen Wai!
hahahahahahahahah!
yupo kwenye kosta la moro
hahahahaha!Hivi Firstlady amelog in kweli?......dreva tax lazima atakuwa respoensible kwa hili
Mimi nakushangaa, mbona sku za mwanzo hukuwa hvyo? Ulikuwa mwanaume handsam, mpole, mtulivu na mwenye mapenz ya kweli...
Kinachoniuma mimi, ulipontongoza ulisema utanioa. Sasa ndoa iko wap? MImi sikuelew, stak kamwe kuona unanidump...thubutu.