Nitawezaje kublock number ya simu sumbufu?

Nitawezaje kublock number ya simu sumbufu?

haleluya haleluya!...........
nina nguvu kaa LOW-ASSA

Hebu muulize Mchungaji kama ameshafanikiwa kublock namba ya msumbufu.

Tunataka tuanze mjadala wa wapi tukamuadhibu Roya baada ya saa za kazi. Haiwezekani mpaka saa hizi Rose haja log in JF
 
Inamaana wewe ni Stella wa Magomeni?

Mimi nakushangaa, mbona sku za mwanzo hukuwa hvyo? Ulikuwa mwanaume handsam, mpole, mtulivu na mwenye mapenz ya kweli...

Kinachoniuma mimi, ulipontongoza ulisema utanioa. Sasa ndoa iko wap? MImi sikuelew, stak kamwe kuona unanidump...thubutu.
 
unatoa LINE unaweka LINE, unatoa UKIMYA unaongea na MWENZIO!

The Following User Says Thank You to generation-Y For This Useful Post:

GENERATION - Y (Today)​
 
Mimi nakushangaa, mbona sku za mwanzo hukuwa hvyo? Ulikuwa mwanaume handsam, mpole, mtulivu na mwenye mapenz ya kweli...

Kinachoniuma mimi, ulipontongoza ulisema utanioa. Sasa ndoa iko wap? MImi sikuelew, stak kamwe kuona unanidump...thubutu.

Siku zote nilikuwa najua Pasco ni majina ya kiume....LOLZ
 
Hebu muulize Mchungaji kama ameshafanikiwa kublock namba ya msumbufu.

Tunataka tuanze mjadala wa wapi tukamuadhibu Roya baada ya saa za kazi. Haiwezekani mpaka saa hizi Rose haja log in JF

Babu uko vizuri sana kusoma alama za nyakati.....hata mwanao Maty haonekani leo....:whoo:
 
Babu uko vizuri sana kusoma alama za nyakati.....hata mwanao Maty haonekani leo....:whoo:

Nikikaa kimya huchelewi kusema na mjukuu naye haja log in.

Shut your fingers Le Jenereishen Wai!
 
Nikikaa kimya huchelewi kusema na mjukuu naye haja log in.

Shut your fingers Le Jenereishen Wai!

Hivi Firstlady amelog in kweli?......dreva tax lazima atakuwa respoensible kwa hili
 
Mimi nakushangaa, mbona sku za mwanzo hukuwa hvyo? Ulikuwa mwanaume handsam, mpole, mtulivu na mwenye mapenz ya kweli...

Kinachoniuma mimi, ulipontongoza ulisema utanioa. Sasa ndoa iko wap? MImi sikuelew, stak kamwe kuona unanidump...thubutu.

Fidel80 nisaidie! Ile ilikuwa ni lugha ya kibiashara zaidi.
 
Back
Top Bottom