Sio mjanja hizi mambo wanafaidika wachache sana ni sawa na betting, forex, wengi huwa wanachakazwa kwa kupata hasara, ila wajanja wananufaika kwa CCMSawa mwananchi mjanja... Endelea kuwa mjanja hivo hivo ukidhani kila mtu anawinda hiyo hela yako..
Sikiliza, watakao ona inafaa watachukua, na nyie mnaoona haina maana basi piteni kando ! mbona ni rahisi sana kuelewaThere is a reason kwanini wanatokwa mapovu
Kama wanatokwa mapovu yanini mnawaletea mauzi ya kuwataka waje kwenye hizo forex?
Achaneni nao,msiwaletee hizo mnazoziita eti ni "fursa"!
Hawa ni ndugu mkuu
Ukishapost kitu chochote hapa huwezi katu kuwaambia watu ''wapite kimya''.Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.
Nani kasema wote twende ??.. soma tena uzi wangu paragraph mbili za mwisho.. usinilishe maneno.. ndo mana natumia neno financial markets.. naongelea instruments zote.. sio tu bitcoin na forex..Kwavile Financial Markets inatoa hela kwa sekta zote hivyo wote twende Forex na Bitcoin?
Be serious wewe!
Jaribu kuwa objective kidogo ili ujibiwe maswali yako. Sasa wewe mambo ya mbegu za Ubuyu huku unayaleta tukujibu nini wakati watu wanazungumzia jambo lingine? huoni kama unawatoa watu kwenye mjadalaNauliza tena Kunatofauti gani kati waliouza mafuta ya mbegu za ubuyu na Rupia ya mjerumani na Bitcoin... Mbona swali linazungukwa tuu hili!?
We Mleta Mada.. wengine Kaka zenu humu.. mnapoulizwa mnajibu .. sio mnatuacha na vipara vyetu tunabung'aa tu..
Haya pita mbele uanze kujibu.. mara moja.. Nisije muita rapper wa Arusha akunyooshe!
😀
Umelazimishwa vip mkuu.. kwani nimekushika mkono? Bundle lako simu yako bado unalalama unalazimishwa.. hivi unajitambua vema??Unaona sasa
Kuandika uandike wewe,na kuelewa ulazimishe dunia ielewe unavyotaka wewe?
Wewe ushaandika,kuelewa tuachie wananchi tuelewe tunavyotaka,wewe haikuhusu tena!
Cha ajabu unataka jamii ielewe unavyotaka wewe kwa lazima!
What a joke?
Unalazimisha kwa kutuwekea mauzi elfu moja kidogo,hii ni fujo!
Huo utajiri piga wewe huko kwenye Financial Markets unazozijua wewe!
Kua tajiri halafu njoo utuoneshe!
Sio tajiri na huna cha kutuonesha!
Sorry
Sio tu forex.. financial markets nzima imekuwa na faida kwa watu.. yaani kusema tu hivo basi.. watu wanadhani eti ni unataka kuwalaghai watu..Forex imebadilisha watu wengi sana mkuu from nothing to something, hawa wanaifananisha na haya ma pirramid ya mtaani.
Si unajua hakuna biashara rahisi..Sio mjanja hizi mambo wanafaidika wachache sana ni sawa na betting, forex, wengi huwa wanachakazwa kwa kupata hasara, ila wajanja wananufaika kwa CCM
Kuna watu wanasema ninekuja kuwatapeli watu.. yaani kutoa taarifa tu kuhusu bitcoin ishakuwa nongwaUkishapost kitu chochote hapa huwezi katu kuwaambia watu ''wapite kimya''.
Weupe kichwani na wabishi mnooo kwa vitu wasivovielewaHuu uzi ukisoma comments utaona jinsi watz wengi walivyo weupe kichwani.
Unajua ni kwanini wanahofu kuwa wanaweza kutapeliwa? Kwa sababu nchi kama Bongo hakuna mtu ''anayepigia debe'' tena kwa nguvu zote kueleza watu njia za kuwa matajiri. Unakuta mtu anatumia nguvu na muda wake kuwasihi watu wafanye jambo fulani eti watatajirika! uzoefu wangu unaonyesha watu wengi kabisa wakipata channel ya mchongo hutaka watu wengine wasijue hata kidogo na wapo tayari hata kufanya hujuma ili wengine wasijue. Sasa wewe huu wema umetoka wapi?Mentality ya watu tayar ipo corrupted.. yaani kuleta tu uzi wa aina hii.. kuna tayar wanadhani eti nataka kuwatapeli akati sijawaomba hata kumi..
Yaani watu hawaangalii upande wa elimu wanaangalia pesa na kutapeliwa.. ni mentality za kimaskini
Huwezi fananisha hayo mavitu na Bitcoin.. kwanini usi google ukaelewa zaidi?Nauliza tena Kunatofauti gani kati waliouza mafuta ya mbegu za ubuyu na Rupia ya mjerumani na Bitcoin... Mbona swali linazungukwa tuu hili!?
We Mleta Mada.. wengine Kaka zenu humu.. mnapoulizwa mnajibu .. sio mnatuacha na vipara vyetu tunabung'aa tu..
Haya pita mbele uanze kujibu.. mara moja.. Nisije muita rapper wa Arusha akunyooshe!
😀
Kwa definition ya Money.. Je Bitcoin inakidhi!?Jaribu kuwa objective kidogo ili ujibiwe maswali yako. Sasa wewe mambo ya mbegu za Ubuyu huku unayaleta tukujibu nini wakati watu wanazungumzia jambo lingine? huoni kama unawatoa watu kwenye mjadala
@Naantombe MushiKwa definition ya Money.. Je Bitcoin inakidhi!?
Is Bitcoin a product!? Or a means for exchange!?
Who regulates and guarantee the value for Bitcoin!?
What backs Bitcoin's value!?
As for forex
Ningependa kujua two world class institutions ambazo zinadeal na Forex tuu.. yaani that's their main business.
They buy and sell money/currency
If not, why hakuna!?
Tuanze hapo .. does that seem objective enough!? To begin!?
Mkuu ungejaribu kujishughulisha kidogo maana google wamejibu maswali mengi uliyoyauliza, Jaribu kuitafuta elimu ya suala husika before hujaja public ku criticize, maana inaenekana kabisa wengi wenu mpo kupinga ilhali hamna hufahamu na suala husikaKwa definition ya Money.. Je Bitcoin inakidhi!?
Is Bitcoin a product!? Or a means for exchange!?
Who regulates and guarantee the value for Bitcoin!?
What backs Bitcoin's value!?
As for forex
Ningependa kujua two world class institutions ambazo zinadeal na Forex tuu.. yaani that's their main business.
They buy and sell money/currency
If not, why hakuna!?
Tuanze hapo .. does that seem objective enough!? To begin!?
Kwaiyo hapa unataka kuzungumzia nini. Embu nipe uwelewa wako kwenye suala la kuuza na kununua au currencyMaana yake ni kwamba kwenye financial markets hakuna price ambayo ni too high or too low... Price ina move popote..
Kuna watu huwa wanadhani price ikiwa ndogo sana ndo opportunity ya kununua.. ama ikiwa kubwa sana basi inatakiwa kuuzwa.. sivo ilivo
Kuna watu huu uzi umeshakuwa msaada mkubwa kwao, infact siyo kila mtu uzi huu utamfaa, hivyohivyo katika masuala mengineNipiteje kando mzee wakati huu uzi upo public?
Mimi ni public member nina haki ya kuchangia public debates kama hizi,jhuwezi nikataza
Cha msingi wewe ni upinge ideas zetu kwa ideas zako tuone yenye nguvu ni ipi sio eti unakataza watu wasichangie eti "wapite kando"
Hii dictatorship ya ideas mnamletea nani nyie uchwaras?