Nitegemee mazuri au mabaya yapi nikipanda basi hili?

Nitegemee mazuri au mabaya yapi nikipanda basi hili?

Yuda Legacy

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
778
Reaction score
2,764
KAMA kichwa cha habari kinavyosema nijiandae na mazuri yapi na mabaya yapi kutoka kwenye hili bus maana niko huku bush (kijijini) mbeya karibu na tabora ndio nataka nipande.

Au nisipande mnijulishe pia nipande gari ipi kwa hapa nilipo maana nililo likuta mimi ndio hili tu japo kuna Noah lakini konda ananiambia Noah ni mbovu zinazima zima njiani mkumbuke niko huku kijijini kambikatoto kwa mbele karibu na Tabora.

FB_IMG_17177675281078352.jpg


Sent from my OPPO A37m using JamiiForums mobile app
 
KAMA kichwa cha habari kinavyosema nijiandae na mazuri YAPI na mabaya yapi kutoka kwenye hili bus maana niko huku bush (kijijini) mbeya karibu na tabora ndio nataka nipande.

Au nisipande mnijulishe pia nipande gari ipi kwa hapa nilipo maana nililo likuta mimi ndio hili tu japo kuna Noah lakini konda ananiambia Noah ni mbovu zinazima zima njiani mkumbuke niko huku kijijini kambikatoto kwa mbele karibu na tabora.


View attachment 3017120

Sent from my OPPO A37m using JamiiForums mobile app
licha ya ubovu Noah ni hatari sana kwa safari ndefu hasa zenye barabara za magari makubwa, panda hiyo mashine tu 🐒
 
KAMA kichwa cha habari kinavyosema nijiandae na mazuri YAPI na mabaya yapi kutoka kwenye hili bus maana niko huku bush (kijijini) mbeya karibu na tabora ndio nataka nipande.

Au nisipande mnijulishe pia nipande gari ipi kwa hapa nilipo maana nililo likuta mimi ndio hili tu japo kuna Noah lakini konda ananiambia Noah ni mbovu zinazima zima njiani mkumbuke niko huku kijijini kambikatoto kwa mbele karibu na tabora.


View attachment 3017120

Sent from my OPPO A37m using JamiiForums mobile app
AIRBEGI NI BEGI LAKO, MUUNDO WA ILO GARI NI SAWA UPO KWENYE KALAKALANA LA VYUMA
 
Hahaha, leo umeyakanyaga Mkuu.

Nimepanda gari kama hizo kutoka Mbeya kwenda Rungwa kupitia hapo Kambikatoto ni balaa.. kwanza inakimbia lakini ni salama. Nyingi utakuta hazina mkanda na barabara ni zimepinda kinoma jipange pa kujishikilia, utaruka ruka sana.

All in all utasafiri salama usijali.
 
Ilikuwa ni private car tu mkuu Ilikuwa inaenda singida kwa hiyo nilipanda kama zile gari za IT one trip one disappear

Sent from my OPPO A37m using JamiiForums mobile app
basi panda hio nganganga,,ila ukifka tafta dawa za kutuliza maumivu ya kichwa,,zenyewe hua na vyuma vinagongana hatakama ni lami, that's why nmeita nganganga

nganganganganganganga hadi ufke kichwa hoiiii
 
Hahaha, leo umeyakanyaga Mkuu.

Nimepanda gari kama hizo kutoka Mbeya kwenda Rungwa kupitia hapo Kambikatoto ni balaa.. kwanza inakimbia lakini ni salama. Nyingi utakuta hazina mkanda na barabara ni zimepinda kinoma jipange pa kujishikilia, utaruka ruka sana.

All in all utasafiri salama usijali.
Mimi Mwenye nilivyo liona tu nimekubali kwamba leo nimeyatimba japo kuna akili inaniambia sura sio roho
 
Back
Top Bottom