Kwangu me hii ngoma ndio ngoma yangu Bora kwa mwaka huu.Wakati maua sama ametoa iokote nilizani amebahatisha hi ngoma ilikuwa kubwa sana kuliko jina la maua sama nikajiuliza je ngoma inayofuata itaifunika iokote bila Shaka maua sama kapindua meza ndio ikatokea hi ngoma.
Hi suala lilimshindwa darassa amwae alitoa muziki ngoma zilizofuata baada ya hapo azijafanya kutokana matarajio makubwa ya mashabiki lakini maua sama ameni prove wrong.
Intro tu ya niteke inakuambia hii ni hit before hata ujaisikiliza ngoma yote.Sifa nyingne ya hii ngoma haoichoshi na pia haichuji.Ukiisikiliza hi ngoma unatamani wewe ungekuwa mwimbaji ingawa wewe sio msanii.
Big up maua sama pamoja na producer aliyekutengenezea hii ngoma ameonesha ubunifu mkubwa sana. Sema tu maua sama Hana exposure kubwa angekuwa ana exposure kubwa hi ngoma ingekuwa kubwa Africa nzima kuliko ngoma yoyote.
Hi suala lilimshindwa darassa amwae alitoa muziki ngoma zilizofuata baada ya hapo azijafanya kutokana matarajio makubwa ya mashabiki lakini maua sama ameni prove wrong.
Intro tu ya niteke inakuambia hii ni hit before hata ujaisikiliza ngoma yote.Sifa nyingne ya hii ngoma haoichoshi na pia haichuji.Ukiisikiliza hi ngoma unatamani wewe ungekuwa mwimbaji ingawa wewe sio msanii.
Big up maua sama pamoja na producer aliyekutengenezea hii ngoma ameonesha ubunifu mkubwa sana. Sema tu maua sama Hana exposure kubwa angekuwa ana exposure kubwa hi ngoma ingekuwa kubwa Africa nzima kuliko ngoma yoyote.