NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Ni kwa toleo lile lilioandika nyuma Docomo kutoka Japan - SO-O1K.
niliwahi kununua simu hii yani kamera ni kali, ram si 4gb, battery inachaji fasta na inakaa, simu ngumu, n.k ila kwenye network sasa!!
ukiwa mjini centre utaiona simu iko poa kabisa inashika 4g+ ni ngumu kujua kuna tatizo kwenye mtandao.
Yani kiufupi unaweza kutumia 4g ukiwa eneo lenye 4g+ hasa centre tu, nje ya hapo sahau
Kuwa makini, chukua tahadhari.
Binafsi nilishaiuza kwa mwengine ila yaye uzuri anakaa town kwenye 4g+
niliwahi kununua simu hii yani kamera ni kali, ram si 4gb, battery inachaji fasta na inakaa, simu ngumu, n.k ila kwenye network sasa!!
ukiwa mjini centre utaiona simu iko poa kabisa inashika 4g+ ni ngumu kujua kuna tatizo kwenye mtandao.
Yani kiufupi unaweza kutumia 4g ukiwa eneo lenye 4g+ hasa centre tu, nje ya hapo sahau
Kuwa makini, chukua tahadhari.
Binafsi nilishaiuza kwa mwengine ila yaye uzuri anakaa town kwenye 4g+