Nitoe ushauri wangu hapa kuwamaliza kabisa panya Road

Nitoe ushauri wangu hapa kuwamaliza kabisa panya Road

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Naomba niwape ushauri wa kuwamaliza hawa viumbe.

Kwanza kabisa mfumo wa dar umekaa tofauti sana na mikoani, ndio maana huwezi kuona magenge haya ya waharifu katika mikoa mingine, watu wanao tamba bara barani na kufanya uharifu.

Ingekuwa ni mkoani tungetumia mbinu ya sungusungu kumaliza hili tatizo kwa weredi, lakini dar wanaume wa dar kumudu kazi hii ni changamoto na pili sungu sungu wenyewe waweza kuwa panya Road.

Mimi ushauri wangu, Jeshi la polisi liunde operation maalumu ya panya Road, na kumteua kamanda Mohamed Msangi kuongoza operation hiyo
images (11).jpeg

Kikubwa asichaguliwe watu wa kufanya nao kazi na asifundishwe mbinu za kufanya kazi.

images (10).jpeg

Mimi nawahakikishieni usiku mmoja tuu wa tarehe 03/05/2022... utatosha kabisa kuwatuliza panya Road.

Jaribuni mtakuja kunishukuru baadae.
Naitwa mtwa mkulu Mngaya sida
 
Hajakutama na panya road wa tabata 😅polisi wakienda mashariki wao wanarudi kusini
 
Huyo jamaa enzi zake akiwa kituo Cha police pale Usa river,meru Kama ulikua na ndg yako ukasikia amepelekwa pale kituoni Basi mjiandae kwenda kuchukua mwili wake.
 
Ila watu wa dsm kuna mahali mnafeli sana. Yaani Leo mnavamiwa mnasubiri kutangazwa kwenye TV tu na mapicha mengi. Nina uhakika hao vijana wangefanya hayo huku mikoani hakika hata kwenye TV msingewaona. Kuna watu majasiri huku sio mchezo. Ingepigwa mbiu tu halafu mngeona ushirikiano wa wanajamii. Tatizo lenu huko hata kusalimiana tu issue. Mnajifanya mpo busy na mbele saaana kumbe hamna kitu.
 
Mwanza wahuni walikula chuma mpaka leo hali ipo shwari.
 
Hao panya road wajikute huku Tarime yaani watachinjwa kama kuku.
 
Watu wa mikoani mna ropoka Sana
Hivi unajua kuwa panya road hawakai sehemu moja?yaani wanapofanya tukio sipo wanapoishi
Pili Wana mapanga unaweza kupambana na vijana 20 wenye mapanga?
 
Mngefanya nini nyie .
Acheni kujipaisha.
Unaijua vita ya MOB?
YAANI kila mtu awe na panga patakalika hapo?
Ila watu wa dsm kuna mahali mnafeli sana. Yaani Leo mnavamiwa mnasubiri kutangazwa kwenye TV tu na mapicha mengi. Nina uhakika hao vijana wangefanya hayo huku mikoani hakika hata kwenye TV msingewaona. Kuna watu majasiri huku sio mchezo. Ingepigwa mbiu tu halafu mngeona ushirikiano wa wanajamii. Tatizo lenu huko hata kusalimiana tu issue. Mnajifanya mpo busy na mbele saaana kumbe hamna kitu.
 
Watu wa mikoani mna ropoka Sana
Hivi unajua kuwa panya road hawakai sehemu moja?yaani wanapofanya tukio sipo wanapoishi
Pili Wana mapanga unaweza kupambana na vijana 20 wenye mapanga?
Tatizo lenu wanaume wa Dar mko laini laini sana! Ni kawaida yenu kulia lia kwenye misiba! Mnatumia lotion kama dada zenu! Miwa tu hamuwezi kutafuna, badala yake mnakamuliwa juisi!

Kutwa mnashindia kiyepe chenye mayai ya kisasa! Kwenu mihogo, nazi na karanga mbichi eti ni dawa ya ku boost nguvu za kiume!


Sasa kama hao watoto wadogo wana uwezo wa kujikusanya na kufikia 20 huku wakiwa na mapanga, kwa nini na nyinyi msijikusanye na kufikia walau 10 tu ili kupambana nao? Acheni uoga bhana!

Pambaneni bhana! Na katika hili, sisi wanaume wa Mikoani tutakuwa nyuma yenu.
 
Nauli Bei gani ulipo tukutumie uje upambane nao.?
uwa mnachukulia vitu juu juu tu.
Tatizo lenu wanaume wa Dar mko laini laini sana! Ni kawaida yenu kulia lia kwenye misiba! Mnatumia lotion kama dada zenu! Miwa tu hamuwezi kutafuna, badala yake mnakamuliwa juisi!

Kutwa mnashindia kiyepe chenye mayai ya kisasa! Kwenu mihogo, nazi na karanga mbichi eti ni dawa ya ku boost nguvu za kiume!


Sasa kama hao watoto wadogo wana uwezo wa kujikusanya na kufikia 20 huku wakiwa na mapanga, kwa nini na nyinyi msijikusanye na kufikia walau 10 tu ili kupambana nao? Acheni uoga bhana!

Pambaneni bhana! Na katika hili, sisi wanaume wa Mikoani tutakuwa nyuma yenu.
 
Nauli Bei gani ulipo tukutumie uje upambane nao.?
uwa mnachukulia vitu juu juu tu.
Nipo Lushoto Mkuu! Mpaka Dar nauli ni elfu 20 tu. Hebu jichangisheni nije huko ili niwasaidie kutengeneza kikosi kazi cha kupambana na hao watoto.

Uzuri nimepitia mafunzo ya mgambo. Na hata sasa nafanya kazi ya ulinzi kwenye moja ya taasisi ya kiserikali. Hivyo nina kitu cha kuwasaidia.

Kiukweli wanaume wa Mikoani tunapata maumivu makali sana kutokana na mateso mnayopitia kutoka kwa hao watoto wadogo.

Ila tu mtoe ushirikiaano. Siyo siku wanatokea hao Panya road, halafu mnakimbia kwenda kujificha🏃🏃🏃 kama kawaida yenu, na kuniacha peke yangu! Hii haitakuwa fair hata kidogo.
 
panda shekizengi nauli utaikuta huku
Nipo Lushoto Mkuu! Mpaka Dar nauli ni elfu 20 tu. Hebu jichangisheni nije huko ili niwasaidie kutengeneza kikosi kazi cha kupambana na hao watoto.

Uzuri nimepitia mafunzo ya mgambo. Na hata sasa nafanya kazi ya ulinzi kwenye moja ya taasisi ya kiserikali. Hivyo nina kitu cha kuwasaidia.

Kiukweli wanaume wa Mikoani tunapata maumivu makali sana kutokana na mateso mnayopitia kutoka kwa hao watoto wadogo.

Ila tu mtoe ushirikiaano. Siyo siku wanatokea hao Panya road, halafu mnakimbia kwenda kujificha[emoji125][emoji125][emoji125] kama kawaida yenu, na kuniacha peke yangu! Hii haitakuwa fair hata kidogo.
 
Back
Top Bottom