Nitoe ushauri wangu hapa kuwamaliza kabisa panya Road

Mngefanya nini nyie .
Acheni kujipaisha.
Unaijua vita ya MOB?
YAANI kila mtu awe na panga patakalika hapo?
Samahani mkuu embu rudia tena ulimwengu ujue wanaume wa dar hamfurukuti kwa vitoto tena vibinti vilivyoshika mapanga
 
Tamba baba uwanja ni wako.... ukimaliza uje utuoneshe kwa vitendo.
 
Samahani mkuu embu rudia tena ulimwengu ujue wanaume wa dar hamfurukuti kwa vitoto tena vibinti vilivyoshika mapanga
Ukipitisha panga chini au kisu kutwa nzima hakuna atakayetoka nje siku hiyo.
 
Mkuu tupatie Siri ya afande wetu huyu
 
Watu wa mikoani mna ropoka Sana
Hivi unajua kuwa panya road hawakai sehemu moja?yaani wanapofanya tukio sipo wanapoishi
Pili Wana mapanga unaweza kupambana na vijana 20 wenye mapanga?
Vijana 20 tu, si mnawazingira mnawakamata vizuri,hivi mtaa hapo kila mtu akatoka na panga hamtawakamata?
 
Tatizo kujiandaa.
ujue wizi wa kikundi ni tofauti na wizi wa mtu mmoja.
Na sio tu wapo mikono mitupu na wao Wana silaha ni Kama genge la uhalifu.
Kea hyo mnatakiwa mjipange ukitoka kwa kukurupuka unaweza ukatangulizwa kaburini
Vijana 20 tu, si mnawazingira mnawakamata vizuri,hivi mtaa hapo kila mtu akatoka na panga hamtawakamata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…