0787510341
New Member
- Jul 28, 2022
- 4
- 0
Natamani siku zisonge na miaka iendelee kwa kasi hii hii ili UMASIKINI uzeeke na UTAJIRI uchipue na kukua kama mti wa MBUYU
Sina mradi wala wazo lolote, sina lengo wala ndoto yeyote naona maisha yanasonga kama ilivyo desturi yake Mara Giza wakati wa usiku Mara mwanga gafla siku nyingine itatengeneza miaka..!!
Natamani nijikwamue na mimi niheshimike kama wao lakini funguo za ubongo wangu zimegoma kufungua macho nizione fursa zitakazonitoa mbele ya mdomo huu wa umaskini..!!
Namtafuta wa kumlaumu japo niufariji moyo wangu lakini kila ninayedhania kama anapaswa kulaumiwa juu ya anguko langu kumbe hata yeye anazo lawama zake kwangu..!!
Najiona njia panda bila shaka ni jukumu langu kujikwamua hapa nilipokwama lakin sasa nifanyeje...!???
Naitwa Ditram mwanaharakati
Sina mradi wala wazo lolote, sina lengo wala ndoto yeyote naona maisha yanasonga kama ilivyo desturi yake Mara Giza wakati wa usiku Mara mwanga gafla siku nyingine itatengeneza miaka..!!
Natamani nijikwamue na mimi niheshimike kama wao lakini funguo za ubongo wangu zimegoma kufungua macho nizione fursa zitakazonitoa mbele ya mdomo huu wa umaskini..!!
Namtafuta wa kumlaumu japo niufariji moyo wangu lakini kila ninayedhania kama anapaswa kulaumiwa juu ya anguko langu kumbe hata yeye anazo lawama zake kwangu..!!
Najiona njia panda bila shaka ni jukumu langu kujikwamua hapa nilipokwama lakin sasa nifanyeje...!???
Naitwa Ditram mwanaharakati