swaki la jiti Member Joined Oct 6, 2017 Posts 97 Reaction score 60 Nov 30, 2017 #1 Kwa wajuzi wa lugha ya kiswahili naomba mnifafanulie maana ya haya maneno.takatifu na tukufu.natanguliza shukrani.
Kwa wajuzi wa lugha ya kiswahili naomba mnifafanulie maana ya haya maneno.takatifu na tukufu.natanguliza shukrani.
kamjabari JF-Expert Member Joined Mar 20, 2017 Posts 1,144 Reaction score 1,668 Nov 30, 2017 #2 Tukufu ni Nomino Takatifu ni kitenzi Jina Kwa ujumla ina mlengo mmoja .