Nitofautishieni haya maneno

swaki la jiti

Member
Joined
Oct 6, 2017
Posts
97
Reaction score
60
Kwa wajuzi wa lugha ya kiswahili naomba mnifafanulie maana ya haya maneno.takatifu na tukufu.natanguliza shukrani.
 
Tukufu ni Nomino

Takatifu ni kitenzi Jina


Kwa ujumla ina mlengo mmoja .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…