habari wapndwa, me nataka kuwa mjasiriamali, kijana mwenye ndoto za kua tajir mkubwa baadae kwa kupitia biashara, lakin sijajua kua nifanyeje niweze kutoka kwan kwa mtaji nilio kua nao xjajua biashara gan nifanye, kwan nina 30,000/tsh but sinapakuanzia wadau kwa kiasi kama icho naweza kufanya biashara gani?
naomba msaada plees