Benard kombe
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 139
- 41
jamakani kama mtu ni mwajiriwa je anatumia njia gani kwenda kusomea kozi tofauti na aliyonayo?.mfano mwalimu kwenda kusomea masuala ya kilimo
na unafuata utaratibu upi ili kufanikisha masoma ya kozi nyingine?
na unafuata utaratibu upi ili kufanikisha masoma ya kozi nyingine?