Nitumie dawa gani kujitibu U.T.I

kuna UTI na STI ..... less likely mwanaume kuugua UTI unless amechovya mahali .... meaning umepata UTI as STI ...

so main point ni kuacha/kupunguza kupiga kavu .... Nenda hospital ukafanyiwe vipimo ili ijulikane ni UTI ama other STI .
 
kuna UTI na STI ..... less likely mwanaume kuugua UTI unless amechovya mahali .... meaning umepata UTI as STI ...

so main point ni kuacha/kupunguza kupiga kavu .... Nenda hospital ukafanyiwe vipimo ili ijulikane ni UTI ama other STI .
STI inatokana na nini?
 
Huna UTI, kafanye vipimo zaidi una STD. .kwa dalili unazozisema za kutoa maji maji UTI haina hizo(ina dalili zake kuu) na Kama umetumia AZUMA na haijakata hata kwa muda mfupi hiyo ni dalili ya STD. .kafanye vipimo tena
 
Nenda kapigwe sindano na doxy
 
Muhimu uache kupiga mbichi, magojwa yatakuua.
Maambie avae kondomu

Watu wanazidharau kindomu ila zinazuia mambo mengi sana

Chukua zako rough rider au kiss condom kula mambo usipige kavu wenzetu hawa wana vimagonjwa vya ajabu ajabu kibao na wanaishi navyo bila shida wala hawastuki

Ila ikikupata wewe lazima cha mtema kuni kikupate.

Mimi mara ya mwisho kupiga kavu miaka 2 iliyopita na nilijilaumu sana sana nashukuru nilikuwa poa

Sinaga utaratibu wa kuloweka ,kutembelea ringi [emoji2] hata kwa mademu zangu kabisa au kimasihara.

Kwa kifupi siwamini kabisa hawa watu HIV,GONO, SYPHILIS,HPV,UTI,HERPES na makorokoro mengine ukiwa mzee a kutembelea ringi hayakuachi salama
 
Pole mkuu hiyo sio UTI ,hiyo ni Gonorrhea ,nenda hospital wakuandikie dozi ya Gonorrhea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…