Mzurulaji
JF-Expert Member
- Sep 25, 2021
- 283
- 639
Habarini wana Jamvi..
Sawa ndevu ni kero ila zinaheshima yake.
Ukifika umri fulani ukawa hauna hii mambo bado utakuwa na wakati mgumu wa kupewa salamu hata na watoto wadogo. Umri unaenda harafu nakosa kitu cha muhimu kama hiki.
Tafadhari, Tafadhari... Naomba msaada wenu nasikia kuna dawa ya kukuza ndevu.
NB Ndevu Zipo ila ni ndogo na hazikui....Kwa muda mrefu..
Sawa ndevu ni kero ila zinaheshima yake.
Ukifika umri fulani ukawa hauna hii mambo bado utakuwa na wakati mgumu wa kupewa salamu hata na watoto wadogo. Umri unaenda harafu nakosa kitu cha muhimu kama hiki.
Tafadhari, Tafadhari... Naomba msaada wenu nasikia kuna dawa ya kukuza ndevu.
NB Ndevu Zipo ila ni ndogo na hazikui....Kwa muda mrefu..