political Engineer 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 295
- 792
Unapoagiza mzigo kutoka nje, wanakusafirishia mpaka port ya dar es salaam. Unatakiwa kutafuta clearing agent wako, je Nini faida au hasara za kutumia Hawa wakubwa DHL na FedEx na je Nini faida au hasara za kutumia clearing agent Hawa wa mtaani?
Nisaidieni wadau nipo Kwenye final decision making
Nisaidieni wadau nipo Kwenye final decision making