Na mm ndo sitaki wanangu kuishi maisha yasiyoeleweka maana najua hataweza kuwaweka watoto vizuriUpo sahihi mke wake yupo possessed by demons .
Afanye prayers hasa night prayers
Pia atumie chumvi ya mawe ili Ku-revive UPENDO.
Migogoro ,ugomvi ukishaingia katika nyumba kinachofata ni stumbling, hiyo nyumba haitozalisha chochote
Ikitokea taraka watakaoteseka ni watoto.
Aisee.Umewafiria watoto wako
Hakuna kitu kinaumiza watoto kama baba kwenda kwa mama mwingine na mama kwenda kwa baba mwingine na wao wakihangaishwa
😁mngekuwa mmejenga ungekoma, hapo jikatae,maana na wewe na undondocha wako unataka aanze kusaka ghto na watoto mgongoni?Wenzio tushaacha maghto kibao kama mm hili naenda kumuachia huyu marlayaa ni la Tano.
Hahaha, umetisha ndugu.😁mngekuwa mmejenga ungekoma, hapo jikatae,maana na wewe na undondocha wako unataka aanze kusaka ghto na watoto mgongoni?Wenzio tushaacha maghto kibao kama mm hili naenda kumuachia huyu marlayaa ni la Tano.
😁mngekuwa mmejenga ungekoma, hapo jikatae,maana na wewe na undondocha wako unataka aanze kusaka ghto na watoto mgongoni?Wenzio tushaacha maghto kibao kama mm hili naenda kumuachia huyu marlayaa ni la Tano.
Hahaha, umetisha ndugu.😁mngekuwa mmejenga ungekoma, hapo jikatae,maana na wewe na undondocha wako unataka aanze kusaka ghto na watoto mgongoni?Wenzio tushaacha maghto kibao kama mm hili naenda kumuachia huyu marlayaa ni la Tano.
Miezi mitatu sasa imepita, tupe mrejeshoHabari za humu wakuu mimi maisha yangu na huyu mwanamke yamekuwa ni ya ugomvi kila wiki haiishi bila kugombana.
Ugomvi mkubwa hasa ni wa tendo pia ni mtu wa kununa kila wakati sasa tunae watoto wawili bado wadogo,
Sasa kuondoka hataki na tumepanga upendo kati yetu umekwisha na sioni njia nyingine zaidi ya kila mtu kufata maisha yake.
Nawaza nimuachie hili geto nikapangishe upya.
Na ameapa hataondoka hata nimlete mwanamke mwingine hapa ndani na sijafunga nae ndoa.
Je, ni tumie njia gani aondoke au mm ndo niondoke.
Mpige matukio mfululizo hadi abwage manyanga mwenyewe.Habari za humu wakuu mimi maisha yangu na huyu mwanamke yamekuwa ni ya ugomvi kila wiki haiishi bila kugombana.
Ugomvi mkubwa hasa ni wa tendo pia ni mtu wa kununa kila wakati sasa tunae watoto wawili bado wadogo,
Sasa kuondoka hataki na tumepanga upendo kati yetu umekwisha na sioni njia nyingine zaidi ya kila mtu kufata maisha yake.
Nawaza nimuachie hili geto nikapangishe upya.
Na ameapa hataondoka hata nimlete mwanamke mwingine hapa ndani na sijafunga nae ndoa.
Je, ni tumie njia gani aondoke au mm ndo niondoke.