Una $$? Mwambie unaona anakuvuruga, kisha umwache ww. Kama una pesa hataacha kuja mara moja moja ukimhitaji halaf unampa kitu kidogo. Kama hauna $$, sahau. Ni kuendelea naye tu ivyo ivyo ila atazidi kukuvuruga na maendeleo hautafanya kamwe.Habari zenu mabaharia,
Kuna binti tuko kwenye mahusiano ila kichwani ni empty,ni spender na hana hata robo ya uwife material ila
Ndio ivyo. Matunzo ya pesa yatamuweka karibu. Hapo ni money talks tu!Muache kwa maneno ya kistaarabu tu. Ila ni vizuri ajue kuwa mmeachana ili na yeye atafute mtu mwingine.
uwe unaendelea kumpa matunzo ya fedha na mawasiliano nae endeleza usimchunie. Hapo ukitaka kupasha kiporo inakuwa rahisi.
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.Habari zenu mabaharia,
Kuna binti tuko kwenye mahusiano ila kichwani ni empty,ni spender na hana hata robo ya uwife material ila linapokuja swala la kitandani asee nashindwa hata kuelezea hapa,she isπ₯π₯π₯π₯π₯
Walokole mmeshanza kuharibu nyuzi za watu[emoji3525]Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
1 Wakorintho 1:18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.Walokole mmeshanza kuharibu nyuzi za watu[emoji3525]
Mtoa mada kaomba ushauri na sio mahubiri
Jikite Kwenye mada KENGE wewe1 Wakorintho 1:18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
Anazingua.Jikite Kwenye mada KENGE weweView attachment 1946351
MrejeshoHabari zenu mabaharia,
Kuna binti tuko kwenye mahusiano ila kichwani ni empty, ni spender na hana hata robo ya uwife material ila linapokuja swala la kitandani asee nashindwa hata kuelezea hapa, she isπ₯π₯π₯π₯π₯
Nataka kumpiga chini coz nikiendelea kua nae ntajifunga, huko mbele sitoweza kumkimbia au nikimkimbia ataniletea mabalaa si unajua hata waganga wamekua wengi siku hz
Sasa naombeni mbinu ya kumpiga chini ila nikihitaji utelezi awe ananipa ..
Uzi tayari
Hakuna mkamilifu chini ya jua, labda umuumbe