ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,739
- 2,697
Sitaki niwachoshe kama kichwa cha habari kinavyojieleza ,mimi nimekuwa nikisumbuliwa sana na usingizi pindi ninapokuwa kazini iwe mchana au usiku nahangaika sana mara nipitiwe na usingizi wakati kazi yangu ni marufuku kulala kazini , ukilala sawa na kupoteza kibarua chako kutokana na sheria za wenye mgodi wao ,mwenye msaada na ushauri pia naomba anisaidie kwa hili please .[emoji32]