Nitumie nini ili niweze kuepukana na viotea vya nywele baada ya kunyoa sehemu za siri

Nitumie nini ili niweze kuepukana na viotea vya nywele baada ya kunyoa sehemu za siri

Fuqin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2018
Posts
306
Reaction score
625
Niaje washua!! eti ni mimi tuu napata shida hii au hata nyinyi munaipata?nikishanyoa vuzi panakuwa kipara saafi ila shida inakuja wakati vuzi linaanza tena kuota huwa linachomachoma haswa vile vivuzi vichanga vimekaa kama vimiba fulan hivii.

Sasa hata nyinyi inawatokeaga hii? na nini dawa yake? Na swali lengine huwa unanyoaga kila baada ya siku ngapi ili pawe lipara always.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niaje washua!! Eti ni mimi tuu napata shida hii au hata nyinyi munaipata?? Nikishanyoa vuzi panakuwa kipara saafi ila shida inakuja wakati vuzi linaanza tena kuota huwa linachomachoma haswa vile vivuzi vichanga vimekaa kama vimiba fulan hivii... sasa hata nyinyi inawatokeaga hii?? Na nini dawa yake?? Na swali lengine huwa unanyoaga kila baada ya siku ngapi ili pawe lipara always....

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwa hiyo?
 
Cream ganii hyo jamàniii??
1548140826958.jpeg
 
Niaje washua!! Eti ni mimi tuu napata shida hii au hata nyinyi munaipata?? Nikishanyoa vuzi panakuwa kipara saafi ila shida inakuja wakati vuzi linaanza tena kuota huwa linachomachoma haswa vile vivuzi vichanga vimekaa kama vimiba fulan hivii... sasa hata nyinyi inawatokeaga hii?? Na nini dawa yake?? Na swali lengine huwa unanyoaga kila baada ya siku ngapi ili pawe lipara always....

Sent using Jamii Forums mobile app
121c094806eg213.jpeg
kama shida yenu ni picha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20180704-102940.png
    Screenshot_20180704-102940.png
    83.5 KB · Views: 29
Unatumia kifaa gani kunyolea mkuu, ebu tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom