Nitumie nini maji ya chumvi yasiharibu nguo?

Nitumie nini maji ya chumvi yasiharibu nguo?

Ligogoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
3,503
Reaction score
6,415
Habari JF,

Ninaishi sehemu kunakopatikana maji ya chumvi kwa wingi, ni eneo nililohamia hivi karibuni. Nilichogundua ni kwamba maji haya yakitumika kufulia nguo huwa zinapoteza ule umaridadi, hata ukivaa hujifeel smart tena! Zingine zinapoteza rangi yake (pauka).

Naweza kutumia nini kuzia maji ya chumvi yasiharibu nguo?
 
umetadhimini na jinsi unavyo anika hizo nguo?

Inawezekana kuanika ndiyo kukaathiri nguo?? Sina uhakika coz kabla ya kuhamia hapa nguo zilikuwa nzuri kabisa ila haya majii ni tabuu!!
 
zisuuze sana kwa maji mpaka maji yasiwe na povu ndo uanike...!!na kama nguo ni mtumba pendelea kufulia kwa sabuni ya kipande...!
 
Back
Top Bottom