Nitumie njia gani?kushusha Bp au ni tumie tiba gani ili nipone Bp ya kupanda

Nitumie njia gani?kushusha Bp au ni tumie tiba gani ili nipone Bp ya kupanda

Tuliponga

Senior Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
190
Reaction score
49
Ninaomba msaada na ushauri wa kushusha Bp ambayo imepanda na kufika 160 kwa 100 na nitumie tiba gani ili niweze kupona kabisa.
 
Jitaidi uwe unatumia vitungu swaumu punje tatu kutwa mara tatu,pia uwe unatafuna mbegu za maronge.ispokusaidia tiba hii ntafute ninadawa za asili zinzotibu Bp kwa haraka sana kama unaitaji nakutumia.
 
Pole sana kwani matibabu ya hospital yamefikia wapi?. Mara zote huwa tunashauri tumia dawa za hospital.kama unahitaji zaidi.tutafutane tutakushauri zaidi.Zipo njia mbadala za kushusha BP +255 689 417 472
 
Jitaidi uwe unatumia vitungu swaumu punje tatu kutwa mara tatu,pia uwe unatafuna mbegu za maronge.ispokusaidia tiba hii ntafute ninadawa za asili zinzotibu Bp kwa haraka sana kama unaitaji nakutumia.

Ninashukuru nitakutafuta baada ya kutumia kwanza ushauri wako.
 
Pole sana kwani matibabu ya hospital yamefikia wapi?. Mara zote huwa tunashauri tumia dawa za hospital.kama unahitaji zaidi.tutafutane tutakushauri zaidi.Zipo njia mbadala za kushusha BP +255 689 417 472

Bado sijaanza kutumia dawa za hosptali niko mahali ambapo ni vigum kuzipata hizo dawa za hosptali.
 
Kupunguza blood pressure inategemea iko juuu kiasi gani lakini kwa vyakula

1. Kula ndizi za kuiva: Ndizi za kuiva zina Potasium nyingi na potasium inapunguza solidium ambayo inaongeza pressure hivyo ndizi za kuiva zinapunguza pressure. Vitunguu sio ukweli vitunguu vinatumika zaidi kutoa uchafu mwilini
2. Punguza au acha kula nchumvi chumvi ina nyonya maji mwilini kwa kuwa na solidium nyingi sana na hivyo kufanya pressure iende juu hii ni muhimu sana.
3. Fanya mazoezi
4. Kunywa maji mengi
 
Kupunguza blood pressure inategemea iko juuu kiasi gani lakini kwa vyakula

1. Kula ndizi za kuiva: Ndizi za kuiva zina Potasium nyingi na potasium inapunguza solidium ambayo inaongeza pressure hivyo ndizi za kuiva zinapunguza pressure. Vitunguu sio ukweli vitunguu vinatumika zaidi kutoa uchafu mwilini
2. Punguza au acha kula nchumvi chumvi ina nyonya maji mwilini kwa kuwa na solidium nyingi sana na hivyo kufanya pressure iende juu hii ni muhimu sana.
3. Fanya mazoezi
4. Kunywa maji mengi

Asante.
 
Kupunguza blood pressure inategemea iko juuu kiasi gani lakini kwa vyakula

1. Kula ndizi za kuiva: Ndizi za kuiva zina Potasium nyingi na potasium inapunguza solidium ambayo inaongeza pressure hivyo ndizi za kuiva zinapunguza pressure. Vitunguu sio ukweli vitunguu vinatumika zaidi kutoa uchafu mwilini
2. Punguza au acha kula nchumvi chumvi ina nyonya maji mwilini kwa kuwa na solidium nyingi sana na hivyo kufanya pressure iende juu hii ni muhimu sana.
3. Fanya mazoezi
4. Kunywa maji mengi

Nimeikubali sana sana hii.
 
Fuata ushauri wa daktari pia kuna remedy kutoka forever living kuna alovela jelly juice{43,700}, na forever gacinia plus{52,300} hizi ni nzuri utajisikia vizuri.kama utahitaji utanipm.
 
Back
Top Bottom